THEBLACKPEARL
Member
- Jun 11, 2015
- 69
- 46
- Thread starter
-
- #41
kuna siku nilisema habari za roma ni kiki nadhani sikuelewekahawa UKAWA huwa wanadhani kila mtanzania anawaza kama wao. endeleeni na majungu sie tunazindua ujenzi wa Standard Gauge kesho Jumatano.
Roma katekwa, Roma katekwa, sasa tufanyeje.? Kina Sokoine, Imrani Kombe, Kolimba, Karume Senior walikufa kabisa sembuse Roma kutekwa.
Dr. Ulimboka yupo wapi.? Kuna mtu alitikisa habari kama Ulimboka.? kama hutaki shida we kaa zako kimya, achana na serikali utaumia bure. Mnamuona Diamond mjinga kujikalia kimya.? aache kula bata na warembo wazuri akahangaike kusigana na serikali.? nyie UKAWA vipi, kama la Roma limekuuma sana, si uimbe wimbo na wewe tujue, usimlazimishe Diamond aimbe unachokiwaza wewe.
Kwani cocochaneli ndie le mutuz?List ya washauri wa Bashite:
1:Lemutuz a.k.a Le mburulaz a.k.a cocochanel
2:Babu Tale
3:Sirol
4:Jpm
5:
What do you expect?
Kwani cocochaneli ndie le mutuz?
Ndio maana NAKUPENDAAnaniotea niwe.
Natamani kumwambia king kiba amjibu almas maji[/QUOTE
Atakufa kwa presha na uroho ww, mziki wa DIAMOND King Pori hauwezi.
sawaMnajipa ukubwa Eti akuchezee akili!!
wewe nani!?
Diamond kafikisha ujumbe
hajamtukana mtu wala kumsema mtu vibaya
Hizo chuki zenu zitawapeleka kubaya nini!!
Tunajua mnapenda kutafuta kiki kupitia Kijana huyu
kila mtu akiitaji kutoka lazima Amchokonoe Diamond