Tangu mambo ya Corona yaingie nchini
Kuna Hali nmegundua, unaweza ona jumatatu jumanne Yaani iko kama wikiendi vile
Kama Kuna Hali fulani imebadilika
Ahh acha nizichape bia zangu chobingo fulani
Ova
Mshana Jr
wangari Mathai
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka kuweka akiba.Tangu mambo ya Corona yaingie nchini
Kuna Hali nmegundua, unaweza ona jumatatu jumanne Yaani iko kama wikiendi vile
Kama Kuna Hali fulani imebadilika
Ahh acha nizichape bia zangu chobingo fulani
Ova
Mshana Jr
wangari Mathai
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Maombi yenu wakuuWengine tulisha lockdown siku nyingi mkuu.....
Ukisubiri utakarantiniwa.
Kama anatoka hana yupo vizuri.Maombi yenu wakuu
Leo naenda kukutana na ndugu yangu aliyetokea karantini baada ya kurudi kutoka China mwezi uliopita
Pombe ni sehemu ya Maisha yanguKumbuka kuweka akiba.
Usiendekeze starehe
Umeona ehhKweli aisee
WFH....work from home ndio habari ya dunia
View attachment 1407570
Basic pc nothing special
Tangu mambo ya Corona yaingie nchini
Kuna Hali nmegundua, unaweza ona jumatatu jumanne Yaani iko kama wikiendi vile
Kama Kuna Hali fulani imebadilika
Ahh acha nizichape bia zangu chobingo fulani
Ova
Mshana Jr
wangari Mathai
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote za wiki zimekaa ki wikiendi mzeeUlikuwa kwenye mawazo yangu ndugu Katibu
Jr[emoji769]