Mbona kama wikiendi

Mbona kama wikiendi

Ngoja tupige mambo yetu

Ova
20200403_110351.jpg
20200403_114028.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine tulisha lockdown siku nyingi mkuu.....

Ukisubiri utakarantiniwa.
Maombi yenu wakuu

Leo naenda kukutana na ndugu yangu aliyetokea karantini baada ya kurudi kutoka China mwezi uliopita
 
Hata siyo utani...

Sometimes hata siku kama unasahau hivi leo juma ngapi vile...

Yani dunia imekua haina haraka tena wala pilika pilika...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom