Uchaguzi 2020 Mbona kampeni za uchaguzi kwenye Mataifa yaliyoendelea nikushambuliana personality, kwanini Tanzania?

Uchaguzi 2020 Mbona kampeni za uchaguzi kwenye Mataifa yaliyoendelea nikushambuliana personality, kwanini Tanzania?

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Mataifa makubwa kama Uingereza na Marekani wagombea huwa wanatumia lugha kali kwa wagombea wenzao na nyie ni mashahidi Joe Biden huwa anatumia lugha kali kwa Trump, mashambulizi ni kwa mtu na mtu lakini huku kwetu kila dakika CCM na watu wao wanasema tueleze sera badala ya kuongelea mambo ya watu.

Mataifa haya yamepiga hatua katika kila nyanja ya kimaisha kwa sababu hakuna mtu anayeogopa mtu mwingine licha ya kuwa una vifaru na mabomu

Nchi zinazoendelea tuache unafiki, mtu akibugi tumweleze hapo kwa papo.

Afrika na nchi nyingine tukiogopa kuwashambulia viongozi wetu hadharani tutavuna mabua.
 
Hawana point hao. Ukisikia hivyo, jua kuwa sindano imeingia sehemu yake. Eti utakishindaje chama tawala bila kukiongelea? It is just impossible. CCM yenyewe ambayo iko madarakani tangu uhuru inaiongelea CHADEMA ambayo haijawahi kuingia Ikulu ya Tanzania.
 
😂😂😂
Ndo maana mitaala za shule za Tanzania wanafundishwa kuhusu historia na maendeleo ya Marekani na Uingereza
[/QU

Hii kitu inakera Sana na hovyo Sana sijui tunakwama wapi? Yani unasoma mambo ya hovyo hovyo tuu yasiyo na msaada wowote
 
Kuna kipindi ulishikia bango suala la covid 19 kidogo nikuamini, kumbe ni mtumishi wa mabeberu.
 
Nenda kwenye mataifa makubwa hayo na wewe ukashambuliane personally.
 
Kwani kila wanachofanya marekani ni sahihi na kinapaswa kuigwa?
Our Culture is not their Culture and their culture should never be ours
Mfumo wa chama cha siasa sio utamaduni wetu achilia mbali mfumo wa vyama vingi!Sisi tuliongozwa na machief!So hapo huna hoja!
Lakini mtu ambaye anataka kuongoza lazima ashambuliwe,lazima ajieleze atawafanyia nini watanzania!Lazima asemwe na ajitetee!
Sio kinyume na sheria kushambulia rivals wako!Kama JPM amepuyanga lazima asemwe kweli kweli ili udhaifu wake ujulikane!
Haya mambo ya kulindanalindana hayana nafasi na ni upuuzi!
 
Ni wapuuzi wa ccm ndio wanaleta uhayawani wao hao ni kuwapuuza,.

Ujue maccm hayajui kuwa personality ya mtu ina akisi altitudes sale na ndio Zina influence mwenendo mzima wa uenfeshaji nchi hasa kwenye nchi Kama zetu ambazo rais ni alfa na omega.

Mtu akiwa na personality za ajabu kwa nn asiambiwe mfano bwana yule ambaye ni katili,kiburi,majigambo,ubinafsi,visasi na mkabila..anajifanya mjuaji wakati hamna kitu na haambiliki,bila kumu attack personality unaweza ishi mnakshi mtu ambaye hafai
 
Back
Top Bottom