Uchaguzi 2020 Mbona kampeni za uchaguzi kwenye Mataifa yaliyoendelea nikushambuliana personality, kwanini Tanzania?

Halafu wanajifanya hawajasikia sera, eti nyie mataga hamjasikia sera za TL au mnajitoa tu ufahamu? Mbona mwenyekiti na mgombea wenu amezisikia na ameshaanza kuzidandia zingine.
 
Mbona CCM mlimshambulia sana Lowassa 2015 na sisi mwaka huu tumempata mpiga spana vumilieni.
 
Hii yote ni kwanini?
Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Ndio maana sasa maccm wakiongozwa na Meko wanafoka jukwaani. Wananchi wanataka maji unanunua ndege, wao wanataka hospitali unajenga flaiova, wao wanataka shule unajenga SGR fupi.

Vipaumbele vya watawala sio Vipaumbele vya wananchi.
Maccm badilikeni
 
Magufuri hatufai kwasababu...
1- anahasira ilioitilia.
2- anavisasi, kumbuka usemi wake Kanda ya ziwa! "mkijichanganya mkachagua upinzani. mtaona! kawaulizeni watu was bunda"
3 - mbinafisi
4 - sio mkweli kabisa!!
 
Wananchi hawajui wanachokitaka na ndio maana unaweza kukuta wana mbunge mmoja zaidi ya miaka 20 na hakuna maendeleo yeyote ila bado wanamchagua tu.
 
Wananchi hawajui wanachokitaka na ndio maana unaweza kukuta wana mbunge mmoja zaidi ya miaka 20 na hakuna maendeleo yeyote ila bado wanamchagua tu.
Kwani kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo ?

Kwa kodi ipi anayokusanya ?

Ndio maana huwa mnadanganywa mtajengewa barabara wakati jukumu la kujenga barabara ni la serikali
 
Tanzania tumekula matango poli yaliyo zalisha unafiki 'Hapa ni kusifu'
 
Kwani kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo ?

Kwa kodi ipi anayokusanya ?

Ndio maana huwa mnadanganywa mtajengewa barabara wakati jukumu la kujenga barabara ni la serikali
Sawa mbunge sio kazi yake kuleta maendeleo nimekuelewa hapo,sasa wewe kama mpiga kura unatumia vigezo gani kuamua kumchagua mbunge wa kwenye jimbo lako? kwanini umchague mgombea fulani na si mwengine?
 
Katika kampeni za nchi hizo ulizozitaja ni kweli huwa kuna personal issues na personality victimization tofauti na huku kwetu. Hii inaweza kuelezeka kwa sababu mbili tu, kwa sasa. Moja ni kwamba sisi bado tuna USTAARABU wetu tofauti na wao. Huko wana maendeleo karibu katika kila eneo, ila kwenye ustaarabu ni ZERO. Kwa sababu hiyo ndiyo maana wanashabikia na kutetea mambo ya hovyo hovyo kama ushoga, uzenge, usagaji n.k. Ingawa kuna akina Lissu wanaunga mkono UCHAFU huo.

Sababu ya pili ni UKOSEFU WA SERA MBADALA. Kwa mfano Uingereza na USA, sera zao ni kuuimarisha ubeberu na kunyonya na kupora as much as they can rasilimali za mataifa yetu. Sera yao ni UBEBERU; ndio maana wana kamsemo kao kuwa "wao hawana marafiki wa kudumu ila wana maslahi ya kudumu". Maslahi hayo ya kudumu ni kuimarisha unyonyaji na uporaji wa rasilimali kutoka nchi zetu. Kwa mantiki hiyo, hawawezi kuwa na sera bali personal and personality attacks na kuzungumzia petty issues tu.
 
Kwa hiyo nyie na Chaggadema ni waumini wakubwa wa Matusi na ushoga.
 
Kwa hiyo hata ushoga tuukubali kwa kuwa ni mataifa makubwa ndo yamekubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…