Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia

Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
 
Raial Oding amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
Mimi sikubali kupigwa changa la macho. Kwamba Kenya wana Ideology na sio mtu? Ahahahahaha!! Haya ebu tueleze Ideology ya chama Cha William Ruto ni ipi?
 
Siunaona anavyowapelekesha wafuasi wake. Kesho kapiga deal na Kenyata kesho kutwa kapiga deal na Kalonzo.
 
Raial Oding amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.

Hamia Kenya bro
 
Raial Oding amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
Kenya hawana CHAMA kama ila wanamuungano wa vyama ndio maana hawana haya mambo ya kulambishana asali
 
Mtu mwenye Ufahamu mzuri Huwezi kutumia neno Mbona kwenye Maisha ya Watu.
Kuna watu wanapoteza Maisha
Kuna watu wanapoteza Tumaini la Kesho kisa Upuuzi wa watu wachache kwa Ulafi wao .
Miaka 20 Imetosha
 
CHadema mnakuwa kama CCM junior. Hvi kama hampokezani vijiti kwenye vyama ,tukiwapa nchi itakuwaje?
 
Fanyeni kama ya Urusi basi, alivyofanya Putin na Medvev. Mmoja raisi mwingine akawa waziri mkuu baadaye wakabadilishana.. haileti picha nzuri.. tunajua mnaji-market kwa kasoro za ccm, lkni epusheni kasoro zenu zisionekane..

Minor things zinawapa pr mbovu
 
Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
Hujui siasa za Kenya wewe , !
Hujui kuwa siasa za Kenya ni za kikabila? ODM mainly ni chama cha Wajaluo? Afterall Raila siyo Mwenyekiti wa ODM ni Kiongozi Mkuu wa ODM na hili uwe kwenye hiyo nafasi lazima uwe Kingpin wa Wajaluo .
Sasa Mbowe unataka kusema ndiye Kingpin wa akina nani?
Mbowe ame overstay kwa maslahi yake binafsi na ameshindwa kuandaa succession plan , period
 
Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
Lissu hapana,hapana,hapana
 
Huwezi kuzifananisha Siasa za Raila Odinga na huyu Mbowe.
 
Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania.

Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye Serikali ya Kibaki kama Waziri mkuu na baadae alijiondoa, Raial pia amewahi muunga mkono Uhru Kenyata kwenye ile Handshacke yao.

Raial huyo huyo kwa sasa anamuunga mkono Ruto tena hizo zote hakuna tatizo kwa wana ODM kabisa na spirit yao iko pale pale. hawajapoteza Ideology yao.

Sababu ni kwamba wanatambua mchango wa Rail kupigania Democrasia Kenya, Ila pia wanaamini kwenye Ideology zaidi, hawana tatizo na kuwepo pale ODM miaka na miaka ila wanacho angalia ni mchango wake kwenye Democrasia ya Kenya. Raial amepigania Democrasi kwa jasho na Damu pale Kenya.

Tanzania sasa kwa sababu hatuna mwamko, raia ni mazezeta,tunajificha kwenye vivuli vya mtu. Wakenya wanaamini kwenye itikadi zaid zaidili kuliko mtu.

Kenya sio Rail pekee anaweza pool out watu kwenye maadamano. Kenya hata Kiongozi wa Seriali ya wanafunzi anaweza pool watu.

Sasa Wabongo sisi tunaamini kwenye watu mmoja mmoja.

Hata siku moja hatuwezi fikia robo ya Spirit walio nayo wakenya kwenye Siasa, yaai robo hatuwezi ifikia.

Wakenya ni Born fighters, spirt yao sio ya kupandikizwa ni natural kabisa na pure.

Mitandaoni tumejaa na swagwa za Lisu hafai, Mbowe anafaa,, Lisu anafaa na Mbowe hafai, Hii ni kwa sababu tunaaminu kwenye watu na hatuna spirt ya upambanaji.
Nakubaliana na,wewe waranzania wengi ni mazezeta ndio maana kuna watu wanafikiri ukombozi utaletwa ,na mtu mmoja mradi anajua kupiga kelele.

Nimesema humu Jf mara kadhaa lTanzania hakuna mwanasiasa mwenye watu nyuma yake kwa sasa tofauti na Kenya ambapo kila mwanasiasa ana watu kadhaa nyuma yake. Zamani Nyerere na Maalim Sefu kule zanzibar ndio walikuwa na watu.

Wanasiasa wa bongo wana watu wa kwenye key boards tu.
 
Huwezi kuzifananisha Siasa za Raila Odinga na huyu Mbowe.
Mkuu siasa za Raila hazina tofauti sana na Mbowe na yeye si aliingia kwenye maridhiano kwa gia ya BBI (Building Bridges Initiative)...Just like Mbowe, Raila is a conman alimsaliti Miguna na kulamba asali.

1000017826.jpg

1000017830.jpg
 
Back
Top Bottom