Mbona kila kitu haraka, kuna nini Simba?

Watu wanajificha kwenye soka kumbe nyuma kuna dili chafu kinoma.

All in all Muhami sio Simba na makosa yake sio ya Simba. Amehusishwa na simba kama mfanyakazi tu ingawa haikua vrma kumkana.
 
CEO ameona aibu baada ya watu kuhoji kwanini club kubwa Afrika inakuwa na makocha vibarua/day worker.
Kocha mkuu day worker, kocha wa makipa naye day worker na muuza unga.

Kwani unga nayo si biashara afu ndo inaingiza hela nyingi kuliko biashara yoyote so hakuna shida hapo
 
Wewe punguani hao punda huwa hawataji waajiri wao bora wafe wamekula kiapo

Ila punda wengi km uyo kocha wa simba wapo kunyea ndoo
Una ushahidi? Au kelele tu
Magu na umafia wote ule alishindwa kumfunga hata mmoja aliemtuhumu, zile zilikua kiki tu.
 
Wewe punguani hao punda huwa hawataji waajiri wao bora wafe wamekula kiapo

Ila punda wengi km uyo kocha wa simba wapo kunyea ndoo
Wacha we, kumbe manji nae alikua punda? [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawataja sana tu na wanakamatwa sema wanahonga ela ndefu na wengi wao hawaishi hapa tz wale wasambazi wakubwa, kawadanganye wajinga wenzio...
 
Mfuate uyo manji mwombe uwe punda wake
Wacha we, kumbe manji nae alikua punda? [emoji23][emoji23][emoji23]

Wanawataja sana tu na wanakamatwa sema wanahonga ela ndefu na wengi wao hawaishi hapa tz wale wasambazi wakubwa, kawadanganye wajinga wenzio...
 
Kila kitu kiko sawa mkuu na brand kubwa barani Africa na duniani kote iko salama kabisa!
 
We utopolo tu acha kuvunga...
 
4: kama unakumbuka ishu ya mwinyi zahera na kuhojiwa na kumsema shaban djuma kuwa kibonge na mambo kadhaa kadhaa
Baadae utopolo wakaja wakakanusha mkataba wake pale utopoloni uliisha mapema na yale ni mawazo yake binafsi baada ya kumwaga ugali
Kwa klabu z kariakoo ni kawaida sana uhuni mwingi
 
Si Bora madawa kazi ya kiume kabwili alivyokuta anapelekewa moto na mukoko chooni mlichukua hatua gani
 
Mnahangaika kipindi manji anawabebesha kina kamusoko unga mlikaa kimyaa
 
Yupo mwingine ana pua kubwa anajiita big chawa naona walimtuma Dubai, katuma uko mipicha picha nakucheka cheka tu soon wataumbuka yeye na genge lake
Tusiwaombee mambaya mnk serekali hi inamkono mrefu haweZi kushindwa kuwakamata kina baba level ,Wala sizani kuwa kila mweney mafanikioa anafanya biashara haramu siyo kweli
 
Kwa hiyo Manji anakufanya uone NGADA za Simba ni sahihi..!?? KWa hiyo 34.89kg unaona ni sawa na mhadarati uliokutwa kwenye mkojo..!!! Kweli nyie ni mambumbumbu na mnastahili kuitwa NGADA FC
Nashindwa kuelewa mzigo wote Hui ulipita wapi bas Kuna shinda kuanzi ktk viwanja vya ndege na katk bandari hawezeka kilo 34 ipatikane kuna kitu kusayaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…