Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Abasi na Yusuf wote walifanya hiyo biashara na kutumia piaTofautisha kutumia na kusambaza sembe
CEO ameona aibu baada ya watu kuhoji kwanini club kubwa Afrika inakuwa na makocha vibarua/day worker.
Kocha mkuu day worker, kocha wa makipa naye day worker na muuza unga.
Zile zilikuwa figisu za magu na roho ya husda dhidi ya matajiri. Mbona hakumfunga kama kweli?
Una ushahidi? Au kelele tuMatajiri hawa wauza mihadarati?
Una ushahidi? Au kelele tu
Magu na umafia wote ule alishindwa kumfunga hata mmoja aliemtuhumu, zile zilikua kiki tu.
Wacha we, kumbe manji nae alikua punda? [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe punguani hao punda huwa hawataji waajiri wao bora wafe wamekula kiapo
Ila punda wengi km uyo kocha wa simba wapo kunyea ndoo
Wacha we, kumbe manji nae alikua punda? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawataja sana tu na wanakamatwa sema wanahonga ela ndefu na wengi wao hawaishi hapa tz wale wasambazi wakubwa, kawadanganye wajinga wenzio...
Kila kitu kiko sawa mkuu na brand kubwa barani Africa na duniani kote iko salama kabisa!Kocha kakanwa kabla jogoo hajawika. Mwingine kateuliwa kabla giza halijaingia, hili linaleta sintofahamu kuhusu hii skenfldo ya madawa ya kulevya. Serikali ichunguze kwa makini sana kuna shida mahala.
Panapofuka moshi tupawahi mapema kabla moto hujawaka kuokoa timu yetu.
Nachukia kuitwa Ngada FC, Yanga mtulie kidogo wakati huu tunapomtafuta huyu nyoka ndani na kusafisha jina letu.
We utopolo tu acha kuvunga...Kocha kakanwa kabla jogoo hajawika. Mwingine kateuliwa kabla giza halijaingia, hili linaleta sintofahamu kuhusu hii skenfldo ya madawa ya kulevya. Serikali ichunguze kwa makini sana kuna shida mahala.
Panapofuka moshi tupawahi mapema kabla moto hujawaka kuokoa timu yetu.
Nachukia kuitwa Ngada FC, Yanga mtulie kidogo wakati huu tunapomtafuta huyu nyoka ndani na kusafisha jina letu.
4: kama unakumbuka ishu ya mwinyi zahera na kuhojiwa na kumsema shaban djuma kuwa kibonge na mambo kadhaa kadhaaKumkana mtu kwa sababu amepatwa matatizo ni michezo ya kitoto.
1. Unaposema hakuwa mwajiriwa, je nani alikua kocha wa makipa kwa muda wote ambao kblabu imecheza mechi za kitaifa na kimataifa?
2. Unaposema alikua na mkataba wa mwezi mmoja tu, mbona tumemuona kwenye klabu kwa zaidi ya mwezi mmoja? Hiyo miezi mingine alikua anauza Ice cream au?
3. Halafu mbona hamsemi huo mkataba wa mwezi mmoja ulianza lini na kumalizika lini?
4. Na alipomaliza mkataba, klabu ilitoa taarifa yoyote kwa umma?
5. Ni aibu timu kubwa kama Simba kukiri kwamba ilikua na kocha Vodafasta. Ni aibu zaidi kumtangaza kocha mpya wa makipa masaa matatu baada ya Mharami kukamatwa? Kwanini Kocha mpya atangazwe leo na sio jana au juzi?
6. TFF mjitathmini kwa hili. Kazi yenu sio kupanga ratiba ya ligi na kumfungia Manara. Ni kusimamia maendeleo ya soka. Mnaruhusuje klabu inayoshiriki mashindano ya kimataifa kuwa na Kocha wa mwezi mmoja? Hata housegirl hapewi mkataba wa mwezi mmoja siku hizi. Imekuaje kwa Mharami? Mikataba ya wachezaji na makocha inakua reviewed na TFF. Kwahiyo mlireview huu wa mwezi mmoja na mkapitisha?
7. Simba kumkana Muharami kunatoa tafsiri gani kwa Mgunda? Je na yeye akipata matatizo tutamkana kwamba hajawahi kuwa kocha wetu? Au tutasema tulimuazima kwa mkataba wa miezi miwili ambayo ilishaisha?
8. Hakuna dhambi yoyote kukiri kwamba Muharami alikua Kocha wetu wa makipa. Na kukiri hivyo haifanyi makosa yake yawe makosa ya klabu. Muharami amekamatwa katika shughuli zake binafsi, sio shughuli za kblabu. Kwahiyo hata kama tungekubali kwamba alikua kocha wetu, haifanyi tuhuma zake kuwa tuhuma za klabu.
9. Pia viongozi wakumbuke kwamba hizi ni tuhuma tu, ambazo hazijulikani kama ni za kweli au uongo, hadi pale Mahakama itakapothibitisha pasi na shaka (beyond reasonable doubts). Tumekimbilia haraka kujisafisha kana kwamba Muharami ameshakutwa na hatia na amehukumiwa. Je ikiwa mahakama itamwondolea hatia na kusema tuhuma zake si za kweli, tutaambia nini watu?
10. Kujisafisha kwa kumkana Mharami ni kujichafua zaidi. Na kukubali kuwa alikua kocha wetu, hakufanyi tuhuma zake kuwa tuhuma za klabu. Pigia mstari.!
Si Bora madawa kazi ya kiume kabwili alivyokuta anapelekewa moto na mukoko chooni mlichukua hatua ganiKocha kakanwa kabla jogoo hajawika. Mwingine kateuliwa kabla giza halijaingia, hili linaleta sintofahamu kuhusu hii skenfldo ya madawa ya kulevya. Serikali ichunguze kwa makini sana kuna shida mahala.
Panapofuka moshi tupawahi mapema kabla moto hujawaka kuokoa timu yetu.
Nachukia kuitwa Ngada FC, Yanga mtulie kidogo wakati huu tunapomtafuta huyu nyoka ndani na kusafisha jina letu.
Mnahangaika kipindi manji anawabebesha kina kamusoko unga mlikaa kimyaaKumkana mtu kwa sababu amepatwa matatizo ni michezo ya kitoto.
1. Unaposema hakuwa mwajiriwa, je nani alikua kocha wa makipa kwa muda wote ambao kblabu imecheza mechi za kitaifa na kimataifa?
2. Unaposema alikua na mkataba wa mwezi mmoja tu, mbona tumemuona kwenye klabu kwa zaidi ya mwezi mmoja? Hiyo miezi mingine alikua anauza Ice cream au?
3. Halafu mbona hamsemi huo mkataba wa mwezi mmoja ulianza lini na kumalizika lini?
4. Na alipomaliza mkataba, klabu ilitoa taarifa yoyote kwa umma?
5. Ni aibu timu kubwa kama Simba kukiri kwamba ilikua na kocha Vodafasta. Ni aibu zaidi kumtangaza kocha mpya wa makipa masaa matatu baada ya Mharami kukamatwa? Kwanini Kocha mpya atangazwe leo na sio jana au juzi?
6. TFF mjitathmini kwa hili. Kazi yenu sio kupanga ratiba ya ligi na kumfungia Manara. Ni kusimamia maendeleo ya soka. Mnaruhusuje klabu inayoshiriki mashindano ya kimataifa kuwa na Kocha wa mwezi mmoja? Hata housegirl hapewi mkataba wa mwezi mmoja siku hizi. Imekuaje kwa Mharami? Mikataba ya wachezaji na makocha inakua reviewed na TFF. Kwahiyo mlireview huu wa mwezi mmoja na mkapitisha?
7. Simba kumkana Muharami kunatoa tafsiri gani kwa Mgunda? Je na yeye akipata matatizo tutamkana kwamba hajawahi kuwa kocha wetu? Au tutasema tulimuazima kwa mkataba wa miezi miwili ambayo ilishaisha?
8. Hakuna dhambi yoyote kukiri kwamba Muharami alikua Kocha wetu wa makipa. Na kukiri hivyo haifanyi makosa yake yawe makosa ya klabu. Muharami amekamatwa katika shughuli zake binafsi, sio shughuli za kblabu. Kwahiyo hata kama tungekubali kwamba alikua kocha wetu, haifanyi tuhuma zake kuwa tuhuma za klabu.
9. Pia viongozi wakumbuke kwamba hizi ni tuhuma tu, ambazo hazijulikani kama ni za kweli au uongo, hadi pale Mahakama itakapothibitisha pasi na shaka (beyond reasonable doubts). Tumekimbilia haraka kujisafisha kana kwamba Muharami ameshakutwa na hatia na amehukumiwa. Je ikiwa mahakama itamwondolea hatia na kusema tuhuma zake si za kweli, tutaambia nini watu?
10. Kujisafisha kwa kumkana Mharami ni kujichafua zaidi. Na kukubali kuwa alikua kocha wetu, hakufanyi tuhuma zake kuwa tuhuma za klabu. Pigia mstari.!
Inasemekana ndio maana Matola hatoki pale.
Uchunguzi ukipita, utapita na wengi sana pale Ngada fc.
Habari za vijiweni za kusadikikaMnahangaika kipindi manji anawabebesha kina kamusoko unga mlikaa kimyaa
Tusiwaombee mambaya mnk serekali hi inamkono mrefu haweZi kushindwa kuwakamata kina baba level ,Wala sizani kuwa kila mweney mafanikioa anafanya biashara haramu siyo kweliYupo mwingine ana pua kubwa anajiita big chawa naona walimtuma Dubai, katuma uko mipicha picha nakucheka cheka tu soon wataumbuka yeye na genge lake
Nashindwa kuelewa mzigo wote Hui ulipita wapi bas Kuna shinda kuanzi ktk viwanja vya ndege na katk bandari hawezeka kilo 34 ipatikane kuna kitu kusayaaKwa hiyo Manji anakufanya uone NGADA za Simba ni sahihi..!?? KWa hiyo 34.89kg unaona ni sawa na mhadarati uliokutwa kwenye mkojo..!!! Kweli nyie ni mambumbumbu na mnastahili kuitwa NGADA FC
Ila kwa hili mlikurupuka kumkana muajir wenuKila kitu kiko sawa mkuu na brand kubwa barani Africa na duniani kote iko salama kabisa!