Yani hizi updates za Jamaa kugongewa na kuchapiwa zinachagamsha jamvi kichiz na kusisimua.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea tutapata utapiamlo na kufa na njaa.
Please leteni current updates huko Feel Free Church watu tufurahi. Msichoke kutuletea manews shida na matatizo yetu zipungue.
Kuchapiwa na kugongewa inauma nyie acheni tu.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea tutapata utapiamlo na kufa na njaa.
Please leteni current updates huko Feel Free Church watu tufurahi. Msichoke kutuletea manews shida na matatizo yetu zipungue.
Kuchapiwa na kugongewa inauma nyie acheni tu.