Tulia weweeeFuraha yako ni huzuni ya mwengine na kinyume chake ni sahihi.
Toka skendo itokee hata kanisani kwake wanahubiri wengine tu.Yani hizi updates za Jamaa kugongewa na kuchapiwa zinachagamsha jamvi kichiz na kusisimua.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea tutapata utapiamlo na kufa na njaa.
Please leteni current updates huko Feel Free Church watu tufurahi. Msichoke kutuletea manews shida na matatizo yetu zipungue.
Kuchapiwa na kugongewa inauma nyie acheni tu.
Wee jisifu tu Semenya usicheze na karma wa kwako ataliwa na mpiga debeKuna mkubwa mmoja namtafunia chombo yake, subiri mambo yakienda kombo!
Soon as Possible UNAUPONZAKuna mkubwa mmoja namtafunia chombo yake, subiri mambo yakienda kombo!
Hizi hapa:Yani hizi updates za Jamaa kugongewa na kuchapiwa zinachagamsha jamvi kichiz na kusisimua.
Watanzania tunafurahiiii nakusahau shida zetu.
Naomba tu hili saga liendelee hadi krismas huko watu tuenjoy maumivu ya wengine kwasababu huu mlo mmoja kwa siku wengi tunaupata bila kusindikizwa na umbea tutapata utapiamlo na kufa na njaa.
Please leteni current updates huko Feel Free Church watu tufurahi. Msichoke kutuletea manews shida na matatizo yetu zipungue.
Kuchapiwa na kugongewa inauma nyie acheni tu.
Hakikisha unatembea na kameraman ili mambo yakienda kombo tupate kavideo kako ka kufanyiwa maumivu pendwa ya wenye shingo ngumu wanaojenga mzinga kwenye wake a watuKuna mkubwa mmoja namtafunia chombo yake, subiri mambo yakienda kombo!
Kwahiyo yeye na my wife wake hawaonekani huko jisikie huru chachi?Toka skendo itokee hata kanisani kwake wanahubiri wengine tu.
Tembea na mafuta ya manukato kila uendako. Wenye pesa si watu wema, na usifikiri hajui, anajua Sana.Kuna mkubwa mmoja namtafunia chombo yake, subiri mambo yakienda kombo!
Tusitishane mkuu.Hakikisha unatembea na kameraman ili mambo yakienda kombo tupate kavideo kako ka kufanyiwa maumivu pendwa ya wenye shingo ngumu wanaojenga mzinga kwenye wake a watu
Basi nimwache tu, nahofia anaweza kujidhuru.Tembea na mafuta ya manukato kila uendako. Wenye pesa si watu wema, na usifikiri hajui, anajua Sana.
HeheheheTusitishane mkuu.