eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Nimeangalia magazeti yote kwenye mtandao asubuhi hii,cha ajabu ni habari za Yanga kutolewa bikra,mnyama hayupo sehemu yeyote na mda uloisha mpira bado unatosha kuwahi kutuletea kilicho jiri huko,au kuna kiaibu fulani baada kile kichapo cha mkono?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app