Getrude Mollel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2022
- 270
- 362
..Asali ni dawa pia..😂😂Asali mbichi ni hatari sana
Mbowe siyo Msemaji wa Chadema
Mbowe hakuwahi kuwa mropokaji hata siku moja
Mpigie simu🤔Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.
Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?
Mbona nilimuona Jumapili akiimba kanisani, hapo ukimya uko wapi?Kulingana na mfululizo wa matukio ya hivi karibuni yaliyotokea nchini, si kawaida kukuta kiongozi wa Chadema akikaa kimya kama ilivyo ada yake.
Duru mbalimbali zinasema kwamba Mbowe amesharamba asali tayari, ametulizwa. Hubu tusemeni jamani, ni kawaida ya mbowe hii kweli, hata tweet kweli? kweli?