Mbona mi cpendwi?

Mbona mi cpendwi?

Inawezekana u-handsome zaidi ya hao ma-beauty. Ina bidi utafute aliekuzidi.
 
Chombo kipi hicho my dia?? ila ban yako uliomba ya muda kweli jamni hope kila kitu kipo pouwa kwa sasa, karibu sanaaa lile jukwaa japo nina karibia 2wks sijaweka kitu watu walizidi lalamika mwaya!! j3 inasemaje pande zako?

We acha tu dear haya maisha haya...
Nway nikirudi home tutachat vizuri
Mie haya madude ya kugusa yananishinda nguvu sasa
mie nataka kunonyeza..lol
pande hii bado tunapigana na kazi za wakoloni
Siwajua tena dear...
Vipi weye mwenzangu?
 
Kwanini utumie akili zako tu? mshirikishe Mungu. mke/mme mwema mtu hupewa na Mungu si kwa sababu ya utanashati na ujanja
 
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.

Sasa ndugu kwani unanashati na uzuri ndio sababu tosha ya wewe kupata mwenza?tumia ujaja wa Mungu,mnachemkaga coz hamshirikishi Muumba wenu
 
mwanaume umekamilika unakosaje mwanamke? na utuambie unataka mwanamke wa nini? kuoa, au kuchakachua na kukimbia, kama ni wa ndoa taratibu muda ukifika ila kama ni wa kupiga mara moja moja hao wamejaa sana ni cash yako tu au maneno yako matamu. ni vizuri tujue na umri wako usijekuwa katoto under 18
 
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.

hapo kwenye red panakupa kiburi ndio maana wanawake wanakuogopa hawakutaki kuna mada moja ilikuwa inasema wanawake wazuri hawaolewi nawe mwanaume mzuri...........
 
Hawatafutwagi kiivo. Kwanza mtangulize Mungu, uwe mkweli toka moyoni na uwe kama wewe. Hizo mbwembwe utazeeka wanakukimbia. Inaelekea ulivyo mdomoni/usoni tofauti na moyoni.
 
Wanaume watanashati, wazuri wanavutia wanawake wengi, pengine kuchelea kuporwa ndo sababu inayowafanya wadada wakukimbie. Jaribu kuwa simple. Mwombe Mungu wako, atakupatia kwa wakati anaoona unafaa.
 
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.

Pole, mshukuru Mungu kwa kila jambo Broda!
 
Inawezekana huna pesa.. Bila swaga la kifedha bongo upendeki. Tafuta pesa utapendwa sana tu.
 
Mwanaume akiwa mtanashati saaaaaaaaaaaaaaaaana nae hapendezi bana jitahidi uwe kawaida
 
Huyu jamaa muongo wana JF mimi namjua kwanza sio mzuri ana sura kama remi alafu sio mtanashati ananuka kama 20% thn ana miaka 46 anaishi SHINYANGA nawakilisha hoja
 
Back
Top Bottom