Chombo kipi hicho my dia?? ila ban yako uliomba ya muda kweli jamni hope kila kitu kipo pouwa kwa sasa, karibu sanaaa lile jukwaa japo nina karibia 2wks sijaweka kitu watu walizidi lalamika mwaya!! j3 inasemaje pande zako?
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
Kujiona kwako mtanashati na mzuri ndio haswa vinawakimbiza wadada!!
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
lbd unakula ugali kwa umma
Mie nakupendaaaa :wink2: