Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
Acha uhuni utapenda wangapi?
usiwe na haraka kila kitu na wakati wake.mamabo mazuri hayahitaji haraka
Kumbe unapendwa mzee, usiwe na hofu kwa vile wapo wanaokupenda kama huyu Maria RozaMie nakupendaaaa :wink2: