GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu ni nani aliyewaambia kuwa Siku hizi duniani kuna Siri? Halafu kumbe hata Kocha nae Saidi Ramazani (Side Rama) aligombana nae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zengeli ndio nani?Halafu ni nani aliyewaambia kuwa Siku hizi duniani kuna Siri? Halafu kumbe hata Kocha nae Saidi Ramazani (Side Rama) aligombana nae?
Ha hahahaha...umasikini huu haujifichi"HAKUNA UMASIKINI MBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA".
MWALIMU JK NYERERE.
Hahahahaha matapu tapu ndio pombe chafu zile za uswahilini?Punguza kunywa matapu tapu
Muongo huyoHebu fafanua mzee Max imekuwaje!😜😜
Katika kitu Waarabu na Wazungu wamefanikiwa ni kuwaaminisha Waafrika majina yao ya asili ni mabaya.Anaitwa nani ingalomba?, ngolombwa?, mbolombwangu?..... eee mbona kama miti shamba
Wakongo wameyakataa kwa kiasi kikubwaKatika kitu Waarabu na Wazungu wamefanikiwa ni kuwaaminisha Waafrika majina yao ya asili ni mabaya.
Usikute unaitwa Abdul au John.
Ndio mkuu, Wakongo, Wasouth Africa wanatumia sana majina yao.Wakongo wameyakataa kwa kiasi kikubwa
Haa umenikumbusha mitumba kumbe kuna chupi used, soksi nimewahi kuzivaa za mitumba ila chipi hapana je miswaki used ipo,?Ndio mkuu, Wakongo, Wasouth Africa wanatumia sana majina yao.
usiniambie kuwa masumbuko ni jina zuri kuliko ahmad au shida ni jina zuri kuliko sarahKatika kitu Waarabu na Wazungu wamefanikiwa ni kuwaaminisha Waafrika majina yao ya asili ni mabaya.
Usikute unaitwa Abdul au John.
Alikwambia nani Masumbuko ni jina la kiafrica?usiniambie kuwa masumbuko ni jina zuri kuliko ahmad au shida ni jina zuri kuliko sarah
Mkuu toa majibu, jamaa ana hojaAlikwambia nani Masumbuko ni jina la kiafrica?