Nilitegemea Msigwa ajikite ktk kueneza na kutangaza mawazo mapya (ya akili kubwa) ili kuondoa mapungufu ya kiuongozi, kisheria na kisera ndani ya serikali inayoongozwa na ccm. Lkn badala yake tangu ahamie ccm amekuwa akimlaumu Mbowe kila apatapo nafasi ya kuongea kwenye majukwaa.
Manufaa ya ccm kumnunua Msigwa ni kusikiliza kisha kuziishi doasari za Mbowe? Au ni nini dhamira ya ccm kumpa airtime Msigwa ya kuelezea dosari za Mbowe?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Manufaa ya ccm kumnunua Msigwa ni kusikiliza kisha kuziishi doasari za Mbowe? Au ni nini dhamira ya ccm kumpa airtime Msigwa ya kuelezea dosari za Mbowe?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM