Mbona Mzee wa Komesho(AY) hakumualika Crazy GK kwenye harusi yake?

Ukweli huu wanafiki hawataki kuusikia.
 
Hata notorius big hukumpenda sababu ya jina
 
Mzuqa SIZONJE's slaves!

Kwani crazy GK aliwakosea nini AY na Mwana FA? Walikuaga Benet Sana. Hata kwenye harusi wamemtenga.

Du we Bwana unawakilisha wanajamii F wengi sna. Wanaokuwa negative kwa Mambo ya wengine. Sasa alikuwepo unaonaje ukaomba radhi na kutueleza nini kimekusibu kuwa mtu Wa Majungu Hivi
 
Mzuqa SIZONJE's slaves!

Kwani crazy GK aliwakosea nini AY na Mwana FA? Walikuaga Benet Sana. Hata kwenye harusi wamemtenga.
Picha za. Iyo harusi ??
 
hao jamaa bado ni marafiki sana tu ata kama kimuziki walitengana.ata kualikwa na huakika Ay lazima tu alimualika .gk alivyo graduate chuo cha tumaini miaka kama mitatu imepita Ay na mwana Fa ,wote walikwenda jumuika nae kumpongeza
Bac kuna sababu zilizoplkea hasifk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…