Hii picha ni kwenye harusi ya prof. J sio ya A.Y kama wengi wanavyodhani. G.K ni msela mavi so automatically hata mimi ningemtenga tu hawezi kuendana na kasi yangu.View attachment 701348
Nafikiri huyo hapo sio GK labda ni Magufuli
hao jamaa bado ni marafiki sana tu ata kama kimuziki walitengana.ata kualikwa na huakika Ay lazima tu alimualika .gk alivyo graduate chuo cha tumaini miaka kama mitatu imepita Ay na mwana Fa ,wote walikwenda jumuika nae kumpongeza
Hii picha ni kwenye harusi ya prof. J sio ya A.Y kama wengi wanavyodhani. G.K ni msela mavi so automatically hata mimi ningemtenga tu hawezi kuendana na kasi yangu.
Maneno yangu sio sheria kaka.Bro una PhD ya umbea na uzushi.
Unaweza dhibitisha ulichoandika.
Ametumia ule msemo wa BE DIFFERENT tusimpangie cha kuvaa kwani suti hana au hajui zinakopatikana? Ni mtu mzma labda kutokana na mishemishe zake aliona angechelewa kufika akaona mwana asiponiona atamaind ngoja nizame ki GK GK tu mbna Fresh