denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
Hebu mfano, angalieni suruali ya FA huko chini, as if alikuwa ameibana na rubber band ili mzingo usishuke. Kweli hiyo ndio hadhi ya Suti inavyotakiwa kuwa?wanadai ninile single ya
View attachment 701148 View attachment 701148 View attachment 701149 View attachment 701150
Watu walikuwa wanatafuta sababu ya Rais kutotaka kusafiri nje, hivi mnakumbuka suti zake alizokuwa anavaa hasa kipindi baada ya kuapishwa? Hivi mnategemea angeenda na zile "nyanya puzo" zake nchi za watu huko?