Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Ipo kwenye katiba au wanafanya kwa ajili ya maslahi yao tu mkuuMwana fa ni mbunge wa chama tawala ccm.
Proff jay alikuwa mbunge wa chama cha upinzani chadema.
Chama cha upinzani huwa hakiundi serikali hivyo hakitoi fursa kwa wabunge wake kuwa mawaziri
Ipo kwenye katiba au wanafanya kwa ajili ya maslahi yao tu mkuu
Sawa mkuuHilo sijui
Sera wanazozisimamia haziendani, hivyo chama tawala hakiwezi kuwa na wabunge wa upinzani kwenye Serikali yao kwa nafasi ya uwaziri.Hizi nafasi za uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata Kama zari.
mbunge wa zamani Jimbo la mikumi na msanii mkongwe wa hip-hop Joseph h(professor Jay)
Alihudumia bunge kwa miaka mitano Ila hakupewa ata uwaziri Kama sifa walizotumia kumpa uwaziri mwana fa mbona professor Jay alikuwa nazo.View attachment 2559874
Vigezo vya Mteuzi unavijua?Hizi nafasi za uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata Kama zari.
mbunge wa zamani Jimbo la mikumi na msanii mkongwe wa hip-hop Joseph h(professor Jay)
Alihudumia bunge kwa miaka mitano Ila hakupewa ata uwaziri Kama sifa walizotumia kumpa uwaziri mwana fa mbona professor Jay alikuwa nazo.View attachment 2559874
Sina uzoefu na siasa mkuuVigezo vya Mteuzi unavijua?
Au kwa sababu wote ni Wasanii, unafikiri ndio kigezo cha kuwa Waziri/Naibu Waziri?
Jay hakuwa na watu kama Salaah nyuma yakeHizi nafasi za uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata Kama zari.
mbunge wa zamani Jimbo la mikumi na msanii mkongwe wa hip-hop Joseph h(professor Jay)
Alihudumia bunge kwa miaka mitano Ila hakupewa ata uwaziri Kama sifa walizotumia kumpa uwaziri mwana fa mbona professor Jay alikuwa nazo.View attachment 2559874
Hakuunga juhudi mkono kama angeunga hata angetaka kuwa spika enzi hizo angeinjoiHizi nafasi za uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata Kama zari.
mbunge wa zamani Jimbo la mikumi na msanii mkongwe wa hip-hop Joseph h(professor Jay)
Alihudumia bunge kwa miaka mitano Ila hakupewa ata uwaziri Kama sifa walizotumia kumpa uwaziri mwana fa mbona professor Jay alikuwa nazo.View attachment 2559874
Kwani professor J alikuwa ccm?Hizi nafasi za Uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata kama zali? Mbunge wa zamani Jimbo la Mikumi na Msanii mkongwe wa Hip-Hop Joseph Haule (professor Jay), alihudumia Bunge kwa miaka mitano ila hakupewa hata Uwaziri.
Kama sifa walizotumia kumpa Uwaziri Mwana FA mbona Professor Jay alikuwa nazo?
View attachment 2559874
Huyo hapo, kama kweli jamaa alimaanisha uwaziri kivuli.Nadhan mleta mada anamanisha waziri kivuli. .
Mbona swali jepesi?? Mawaziri wanatoka kwenye chama kinachoongoza dolaHizi nafasi za Uwaziri zinatolewa kwa upendeleo au ukipata kama zali? Mbunge wa zamani Jimbo la Mikumi na Msanii mkongwe wa Hip-Hop Joseph Haule (professor Jay), alihudumia Bunge kwa miaka mitano ila hakupewa hata Uwaziri.
Kama sifa walizotumia kumpa Uwaziri Mwana FA mbona Professor Jay alikuwa nazo?
View attachment 2559874
Jf hiyoIpo kwenye katiba au wanafanya kwa ajili ya maslahi yao tu mkuu