Mbona Rais Putin anaweweseka?

Mbona Rais Putin anaweweseka?

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Huyu Putin naye sijui Akili zake zimehama au vipi?

Unatangazaje kuyajumuisha majimbo ambayo hauyadhibiti kijeshi kwa 100%. Mpaka Sasa Urusi imeshindwa kuyateka kijeshi kwa 100% majimbo ya Donbas(Luhansk na Dotnesk). Huko Dotnesk Urusi inamiliki 58% ya Jimbo lote na 80% ya Jimbo la Luhansk.

Miji Mkuu wa Zaporhzhzia na Dotnesk (Kramatosk) bado inadhibitiwa na Majeshi ya Ukraine. Mji mkuu wa Jimbo la Luhansk wa Lysychansk na Severodotnesk ndio inadhibitiwa na Urusi TU. Kwanini Putin ameshindwa kusubili Majeshi Yake yateke eneo lote la majimbo hayo Manne?

Maoni yangu

Baada ya ile CounterOffensive ya Majeshi ya Ukraine kuyafurusha Majeshi ya Urusi kwenye Jimbo la Kharkiv,Basi Putin ameona Bora ajitangazie Ushindi Kabla Mambo hayajawa magumu kwa upande wake. Sasa Urusi inataka kutishia Nyuklia Endapo Ukraine itaendelea na CounterOffensive kwenye hayo majimbo.

Kama huu mkwala wa Putin utawaingia Marekani na kuogopa kuipa Silaha Ukraine Basi huu utakuwa Ushindi kwa Putin. Ngoja tusubiri tuone.
 
Kaona anashindwa na anaanza yapoteza hayo majimbo kadili muda unavyoenda

Sababu Urusi ni taifa linaloongozwa kwa propaganda kwahiyo anawaaminisha majimbo wameyachukua raia wake katika fantasy journey yake ili yakirudi awalaumu Warusi kushindwa yalinda na sio yeye
 
Huyu Putin naye sijui Akili zake zimehama au vipi?

Unatangazaje kuyajumuisha majimbo ambayo hauyadhibiti kijeshi kwa 100%. Mpaka Sasa Urusi imeshindwa kuyateka kijeshi kwa 100% majimbo ya Donbas(Luhansk na Dotnesk). Huko Dotnesk Urusi inamiliki 58% ya Jimbo lote na 80% ya Jimbo la Luhansk.

Miji Mkuu wa Zaporhzhzia na Dotnesk (Kramatosk) bado inadhibitiwa na Majeshi ya Ukraine. Mji mkuu wa Jimbo la Luhansk wa Lysychansk na Severodotnesk ndio inadhibitiwa na Urusi TU. Kwanini Putin ameshindwa kusubili Majeshi Yake yateke eneo lote la majimbo hayo Manne?

Maoni yangu

Baada ya ile CounterOffensive ya Majeshi ya Ukraine kuyafurusha Majeshi ya Urusi kwenye Jimbo la Kharkiv,Basi Putin ameona Bora ajitangazie Ushindi Kabla Mambo hayajawa magumu kwa upande wake. Sasa Urusi inataka kutishia Nyuklia Endapo Ukraine itaendelea na CounterOffensive kwenye hayo majimbo.

Kama huu mkwala wa Putin utawaingia Marekani na kuogopa kuipa Silaha Ukraine Basi huu utakuwa Ushindi kwa Putin. Ngoja tusubiri tuone.
Alichofanya Putin ni kichekesho kwa kweli Yale majimbo Hana umiliki wa asilimia 100
 
Huyu Putin naye sijui Akili zake zimehama au vipi?

Unatangazaje kuyajumuisha majimbo ambayo hauyadhibiti kijeshi kwa 100%. Mpaka Sasa Urusi imeshindwa kuyateka kijeshi kwa 100% majimbo ya Donbas(Luhansk na Dotnesk). Huko Dotnesk Urusi inamiliki 58% ya Jimbo lote na 80% ya Jimbo la Luhansk.

Miji Mkuu wa Zaporhzhzia na Dotnesk (Kramatosk) bado inadhibitiwa na Majeshi ya Ukraine. Mji mkuu wa Jimbo la Luhansk wa Lysychansk na Severodotnesk ndio inadhibitiwa na Urusi TU. Kwanini Putin ameshindwa kusubili Majeshi Yake yateke eneo lote la majimbo hayo Manne?

Maoni yangu

Baada ya ile CounterOffensive ya Majeshi ya Ukraine kuyafurusha Majeshi ya Urusi kwenye Jimbo la Kharkiv,Basi Putin ameona Bora ajitangazie Ushindi Kabla Mambo hayajawa magumu kwa upande wake. Sasa Urusi inataka kutishia Nyuklia Endapo Ukraine itaendelea na CounterOffensive kwenye hayo majimbo.

Kama huu mkwala wa Putin utawaingia Marekani na kuogopa kuipa Silaha Ukraine Basi huu utakuwa Ushindi kwa Putin. Ngoja tusubiri tuone.
NATO wanasema hawawezi kukaa kuogopa threat za Nuclear wataisupport Ukraine na hawatambui hiyo annexation
 
Naona mmefungua ka uzi ka kujifariji huku....Majimbo yameenda yale..then Ant..Terrorist operation itatangazwa...

Zelensky mjinga sana angetumia busara tu...haya ya kutunishiana misuli na nchi ambayo miaka mingi imezoea misukosuko kutoka WEST ni kujisumbua tu
 
IMG_8122.jpg
 
Hukana sehem ata moja kweny hotuba ya leo Putin kazungumzia kutumia nuclear kweny hii operation yule jamaa anajiamini sana tuache utani kabisa inawezekana NATO wamewekeza nguvu kubwa kupigana kweny media kuliko kweny uwanja wenyewe wa vita Kuna siku natazama Aljezra naona Russia wanajenga shule, hospital kweny baadhi ya maeneo waliopola kweny Vita na wapo confortable kabisa Yan Kam hakuna chochote kile Kuna kitu USA na dada zake wanatuficha
 
Kwahiyo kwa Akili zako unaweza kujitangazia Ushindi kwenye Uringo ambao mpinzani wako bado anarusha Makonde mazito kuelekea kwako? Au unasubiri kwanza mpaka atepete ndio uonekane mshindi?

Mpaka Sasa Majeshi ya Ukraine yameuzingira mji wa Lyman na zaidi ya Wanajeshi 2,000 wa Urusi wamezingirwa.
Uringo!!!???
Ulingo
 
Kaona anashindwa na anaanza yapoteza hayo majimbo kadili muda unavyoenda

Sababu Urusi ni taifa linaloongozwa kwa propaganda kwahiyo anawaaminisha majimbo wameyachukua raia wake katika fantasy journey yake ili yakirudi awalaumu Warusi kushindwa yalinda na sio yeye
Umemaliza kila kitu
 
Hapa Urusi katumia ile technique ya utotoni ya kuvua shati na kuchora mstari chini huku ukimwambia mpinzani wako vuka hapa uone.
Mkuu hapa sasa umeeleweka lakini kule kwenye uzi mama unasema Ukraine waachie hayo majimbo kuokoa wanajeshi wao kwakuwa watu wa maeneo hayo wanashangilia kuwa sehemu ya Russia,lakini unasahau pengine wanashangilia kwa uwoga ili wasionekane wasumbufu kwa 'utawala mpya chini ya Russia' au wanaoshangilia ni sehemu ndogo tu ya watu wote.
 
Jamaa alivyoandika utazani yuko na putin karibu
Mkuu bongo hapa nyuklia hatuijui inavyofanana mwamba putin anaweweseka kwa madhara atakayosababisha
 
Naona mmefungua ka uzi ka kujifariji huku....Majimbo yameenda yale..then Ant..Terrorist operation itatangazwa...

Zelensky mjinga sana angetumia busara tu...haya ya kutunishiana misuli na nchi ambayo miaka mingi imezoea misukosuko kutoka WEST ni kujisumbua tu
Acha ujinga
 
Kwa hiyo Urusi anapigana na NATO? Kama ni hivyo urusi si mchezo aiseee.. yani anapigana na mataifa 30 at once!!
Wanatoa vifaa wakishuka kwa speed ambayo warusi wameionesha ya kukimbia vita kama NATO wangeingia huenda hata Vlad angekuwa anajificha kwenye mabarafu huko.
 
Back
Top Bottom