Mbona Rais Putin anaweweseka?

Mbona Rais Putin anaweweseka?

Putin.njoo Tz tukupe yote huitaji kuleta hata askari.mmoja.Panya road wameweza kuchukua Dar kwa siku mbili kwa mapanga duu njooo huku baba kuna watu na MITOZO tu
 
Mkuu hapa sasa umeeleweka lakini kule kwenye uzi mama unasema Ukraine waachie hayo majimbo kuokoa wanajeshi wao kwakuwa watu wa maeneo hayo wanashangilia kuwa sehemu ya Russia,lakini unasahau pengine wanashangilia kwa uwoga ili wasionekane wasumbufu kwa 'utawala mpya chini ya Russia' au wanaoshangilia ni sehemu ndogo tu ya watu wote.
Boss wale raia wa kule ni snitch. Adui anakuja na mabox ya kura, mnapiga kura kwa utulivu kabisa hakuna hata wa kurusha jiwe? Adui anatangaza matokeo ya kura raia wana bendera za kushangilia ushindi? Binafsi sioni umuhimu wa kuwapigania hao, ni wasaliti. Labda uniambie hawa raia ni warusi wanafanya maigizo na sio wa hayo majimbo.
images - 2022-10-01T070628.309.jpeg
images - 2022-10-01T070837.724.jpeg
images - 2022-10-01T071348.402.jpeg
 
Huwa mnatazama taarifa ya habari ya channel gani?! Kama mnatazama hawa BBC, CNN, Al Jazeera, sky news, etc hawa wengi wameshashikwa akili na US na washirika wake. So habari zao wanapotosha ili kutengeneza propaganda za kulaghai ulimwengu na jumuiya ya kimataifa juu ya kinachotokea huko Ukraine.

Tazama channel za China utaona habari zilivyo tofauti na accurate.
 
Kaona anashindwa na anaanza yapoteza hayo majimbo kadili muda unavyoenda

Sababu Urusi ni taifa linaloongozwa kwa propaganda kwahiyo anawaaminisha majimbo wameyachukua raia wake katika fantasy journey yake ili yakirudi awalaumu Warusi kushindwa yalinda na sio yeye
Hivi upo serious kabisa kuwa Urusi ni number one propagandist Duniani kweli?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu fanya hata kugoogle basi ujielimishe. US ndie number one propagandist wa hii dunia sababu anategemea maneno mengi kufanya ushawishi ili apate washirika.

Russia ni socialist na ana influence ndogo sana kwenye mataifa mengine. Anachofanya yeye ni kuwa ideologist anapokuwa karibu ya taifa fulani.
 
Yoda hizi ni picha ila katika uhalisia palitakiwa pawepo na upinzani kutoka kwa raia hata kama msimamo wako ni mkali kuhusu kuitetea Ukraine ila najua ungepata nguvu iwapo ungeshuhudia either maandamano ya kupinga uchaguzi, matukio ya vituo kuchomwa moto, wasimamizi kutupiwa mawe au basi hata upinzani wa kawaida kabisa wa kususia uchaguzi.

Kwa akili ya kawaida tu palitakiwa pawepo na upinzani kutoka kwa raia. Hao raia ni liability kwa serikali ya Ukraine ndo maana imekuwa rahisi sana Putin kuamua hilo aliloamua na pia Zele hakutoa wito kwa raia wake wa hayo majimbo wafanye nn kuhusu uchaguzi?
 
Hivi upo serious kabisa kuwa Urusi ni number one propagandist Duniani kweli?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu fanya hata kugoogle basi ujielimishe. US ndie number one propagandist wa hii dunia sababu anategemea maneno mengi kufanya ushawishi ili apate washirika.

Russia ni socialist na ana influence ndogo sana kwenye mataifa mengine. Anachofanya yeye ni kuwa ideologist anapokuwa karibu ya taifa fulani.
Wewe baki hapo kijiweni, huijui Russia wewe toka wakati wa Vladimir Lenin hadi leo. Hujui jukumu muhimu iliyonayo propaganda katika ukomunisti. Ngoja nikuache hivyo hivyo.
 
Yoda hizi ni picha ila katika uhalisia palitakiwa pawepo na upinzani kutoka kwa raia hata kama msimamo wako ni mkali kuhusu kuitetea Ukraine ila najua ungepata nguvu iwapo ungeshuhudia either maandamano ya kupinga uchaguzi, matukio ya vituo kuchomwa moto, wasimamizi kutupiwa mawe au basi hata upinzani wa kawaida kabisa wa kususia uchaguzi.

Kwa akili ya kawaida tu palitakiwa pawepo na upinzani kutoka kwa raia. Hao raia ni liability kwa serikali ya Ukraine ndo maana imekuwa rahisi sana Putin kuamua hilo aliloamua na pia Zele hakutoa wito kwa raia wake wa hayo majimbo wafanye nn kuhusu uchaguzi?
Wewe inaonekana umeshiba propaganda ya Russia, uliona wapi wapiga kura wanafuatwa na masanduku ya kura majumbani mwao, hadi wengine wanapigiwa kura na wanajeshi wa Russia. Hovyo sana.
 
Wewe inaonekana umeshiba propaganda ya Russia, uliona wapi wapiga kura wanafuatwa na masanduku ya kura majumbani mwao, hadi wengine wanapigiwa kura na wanajeshi wa Russia. Hovyo sana.
Haya.
 
Hivi upo serious kabisa kuwa Urusi ni number one propagandist Duniani kweli?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu fanya hata kugoogle basi ujielimishe. US ndie number one propagandist wa hii dunia sababu anategemea maneno mengi kufanya ushawishi ili apate washirika.

Russia ni socialist na ana influence ndogo sana kwenye mataifa mengine. Anachofanya yeye ni kuwa ideologist anapokuwa karibu ya taifa fulani.
Katika Taifa ambalo namshukuru Mungu nimebahatika kulisoma sana na pia Marehemu Balozi wa zamani wakati ikiwa Soviet Union 1980s alikuwa ni Bibi rafiki yangu

Kwahiyo alinipa sana vitabu vya wajamaa na manifesto zao

Niamini nachokuambia Urusi anapotaka jambo lake huwa anakuja na propaganda nyingi na pia yupo tayari hata kuua watu wake kufanikisha malengo.

We Jeshi lake tu Muundo wake kulikuwa na afisa pia mwenye dhamana hiyo ya propaganda kwa vikosi vinavyokuwa mstari wa mbele

images%20(38).jpg
 
Huyu Putin naye sijui Akili zake zimehama au vipi?

Unatangazaje kuyajumuisha majimbo ambayo hauyadhibiti kijeshi kwa 100%. Mpaka Sasa Urusi imeshindwa kuyateka kijeshi kwa 100% majimbo ya Donbas(Luhansk na Dotnesk). Huko Dotnesk Urusi inamiliki 58% ya Jimbo lote na 80% ya Jimbo la Luhansk.

Miji Mkuu wa Zaporhzhzia na Dotnesk (Kramatosk) bado inadhibitiwa na Majeshi ya Ukraine. Mji mkuu wa Jimbo la Luhansk wa Lysychansk na Severodotnesk ndio inadhibitiwa na Urusi TU. Kwanini Putin ameshindwa kusubili Majeshi Yake yateke eneo lote la majimbo hayo Manne?

Maoni yangu

Baada ya ile CounterOffensive ya Majeshi ya Ukraine kuyafurusha Majeshi ya Urusi kwenye Jimbo la Kharkiv,Basi Putin ameona Bora ajitangazie Ushindi Kabla Mambo hayajawa magumu kwa upande wake. Sasa Urusi inataka kutishia Nyuklia Endapo Ukraine itaendelea na CounterOffensive kwenye hayo majimbo.

Kama huu mkwala wa Putin utawaingia Marekani na kuogopa kuipa Silaha Ukraine Basi huu utakuwa Ushindi kwa Putin. Ngoja tusubiri tuone.
Unalike 9 zikifika 20 Niite mbwa
 
Back
Top Bottom