Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anafikiri Chadema haiwezi bila yeye, kumbe anakosea sana na bado ana kinyongo cha kukosa uenyekiti , ile nafasi hakuiachia Kwa moyo mkunjufuTukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Hatajiua kweli?jana kama angekuwa ilikuwa nafasi nzuri sana kuunganisha chama, kutokuja manake anapenda kiumie kwa kigezo kwamba yeye ni tajiri wenzake makapuku hawawezi kuendesha chama bila pesa zake. hii dharau watanzania tuichukulie umakini tuchange pesa hadi aone aibu.
hii ndio huwa wanasema, umekaa pale unasubiri mtu usiyempenda ahangaike kiuchumi, ghafla unashangaa anashuka kwenye range rover mpyaaaa ambayo wee hata huna uwezo kuinunua. watanzania tukiungana vyema, tunaweza kupata pesa nyingi sana kufanyia kampeni. Pia, hata crypto, najua maccm sasaivi watakuwa wanajiandaa kuzuia, hawajui kama sheria za tanzania haziruhusu, unaweza kufanyia hiyo biashara ya pesa mtandao nje ya nchi kule ambako sheria zinaruhusu, na kwa njia hiyo unaweza kupata wachangiaji wengi sana sana kwenye crypto.Hatajiua kweli?
Ukweli achukue notes kwa ZittoMbowe anafikiri Chadema haiwezi bila yeye, kumbe anakosea sana na bado ana kinyongo cha kukosa uenyekiti , ile nafasi hakuiachia Kwa moyo mkunjufu
UWT mbona mnakuwa wakali hivi?Yuko sabbatical leave, hawezi kukaa meza moja na wahuni kila siku
mbona diaspora wameongea kwa mtandao waliunganishwa, yeye yupo sayari nyingine nje ya dunia?Mbowe bado yupo likizo nje ya nchi, angekuwepo bila shaka angehudhuria!
Acheni mambo ya kike na kitoto… mmechaguliwa endeleeni na maisha yenu. Sijamsikia Mbowe tangu uchaguzi upite kitu ambacho ni sahihi atoe nafasi kwa uongozi mpya kusonga mbele sasa chokochoko zanini??Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
Alizoea kuwepo kwenye hafla za cdm kama mwenyekiti, hivyo kwenda kama member wa kawaida kwake imeshindikana. Hayo ni madhara ya kukaa kwenye nafasi moja hasa ya juu kwa muda mrefu kupitiliza.Tukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?
He could've joined through skype. No excuse, Mbowe has a grudges against the new Chadema leadership.Mbowe bado yupo likizo nje ya nchi, angekuwepo bila shaka angehudhuria!
💯%Alizoea kuwepo kwenye hafla za cdm kama mwenyekiti, hivyo kwenda kama member wa kawaida kwake imeshindikana. Hayo ni madhara ya kukaa kwenye nafasi moja hasa ya juu kwa muda mrefu kupitiliza.
Tatizo hazimhusu kwasasaTukio la jana, ili tuelewe kwamba ana moyo wa kukubaliana na matokeo, nilitegemea dj angekuwepo kuhamasisha. au amekaa pale asubiri wakose hela ya kuendeshea chama kama alivyosema?