Mbona sina hamu yakupenda au kuwa na mpenzi?


mtafute yule yule inawzkana kaondka na hisia zako.
 
Pouwa pouwa na 2lia tu kwanza natakiwa kuchek life laendaje and then ndo niwe free so nifanye vzr kilife and then ntajua where can l get de love.

Uandishi wako tu.....I wish ningekusikia wakati unatamka haya maneno!!
 
haha nimependa ilo neno ,pasua kichwa,,
 
kua mpole tu ..hamu itakuja.ukiforce utaangukia pua
 
Mi na kuwa mpole tu najua nitapata tena penzi lile la dhat subira nayo huvuta heri au vp wala cna pupa na mapenz mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…