ukweli uko wazi, ukiiba hata dhamira yake inamsuta wacha watu, watu wamejua kumbe Kikwere ndiye anayewanyonya thru mafisadi, he is part and parcel ya mafisadi, pamoja na kuiba kapata mil 5, imagine watu waliojiandikisha ni 20 mil, wameiba na kutoa majina ya watu wengi wasipige kura, watu hawampendi, bidhaa, hali ya maisha ni ngumu mno sasa, ALIOPULIZWA WHY TZ IS POOR, KASEMA HTA YEYE HAJUI, YAANI NAUMWA KICHWA MARA MOJA NIKISIKIA HILI, ELIMU, AFYA, KUJENGA NYUMBA GHALI MNO, MM KILA SIKU NA HASIRA BALAA, HALAFU THERE SOME HOPELESS WANASHABIKIA, LET'S BE TRUE, MKWELI HAWEZI KUSHABIKIA HALI YA MIAKA 5 ILIYOPITA, CCM MATUMBO HAYOOO, WANANCHI UFUKARA HUO, SHHHHHHHHHHHIT