Furaha ni kitu cha Feelings, na feelings zaweza kua za furaha, uchungu, hatia na mengine. sasa kwa issue ya wana CCM mioyo inawasuta kwa madhambi waliyoyafanya.
Nakumbuka Mjini Arusha baada ya kutangazwa mgombea wa CHADEMA kua ni mshindi, mji wote ulirindimishwa kwa honi, na mbio za magari na pikipiki. na hata watumia daladala nao walionyesha mbwembwe za kila aina ikiwemo kupunga vidole viwili. kwa kweli ilikua ni sherehe ya aina yake. Sasa hii ya wenzetu wa CCM it is reflecting what is in their hearts. :A S angry::A S angry:na thambi hiyo itawatafuna kwa miaka yote hii mitano:A S angry::A S angry: