Mbona sisikii shamra shamra za Women's World Cup mtaani kwangu na Tanzania nzima kwa ujumla?

Mbona sisikii shamra shamra za Women's World Cup mtaani kwangu na Tanzania nzima kwa ujumla?

Hamuupendi mpira kiujumla, mbna mtaa wangu tunaelewa kila kinachoendelea.
 
Waache wakinamama wapikie waume zao hayo sio mambo yao ni ushetani tu na uasherati unawaingiza kwenye boli

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom