Hawalitaki sabu lina haribu na kufinya loopholes za watu wapiga madili...Asilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya. Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya. Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?.
Tupitishe katiba ili ije itubane wenyew? Pia ituweke mashakani kwenye uchaguz? Ndio maana hatutaki katiba mpya tunaipiga danadana tuAsilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya. Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya. Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?.
MaCCM mabinafsi sana. Ndiyo maana nchi haitakuja endelea chini ya utawala wao. Waende tu hapo Chato wajionee ni jinsi gani mali zinayoharibika ukiondoka zako ..... Hotel ya 4 Star sasa wanaoga maji kwenye ndoo!!Tupitishe katiba ili ije itubane wenyew? Pia ituweke mashakani kwenye uchaguz? Ndio maana hatutaki katiba mpya tunaipiga danadana tu
Aisee 🤔MaCCM mabinafsi sana. Ndiyo maana nchi haitakuja endelea chini ya utawala wao. Waende tu hapo Chato wajionee ni jinsi gani mali zinayoharibika ukiondoka zako ..... Hotel ya 4 Star sasa wanaoga maji kwenye ndoo!!
Umejuaje hiyo asilimia ya Watanzania kama siyo kubwabwaja tu. Jisemee wewe ikiwezekana na familia yako tu.Asilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya.
Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya.
Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?
Siyo woteMaCCM mabinafsi sana. Ndiyo maana nchi haitakuja endelea chini ya utawala wao. Waende tu hapo Chato wajionee ni jinsi gani mali zinayoharibika ukiondoka zako ..... Hotel ya 4 Star sasa wanaoga maji kwenye ndoo!!
"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."Asilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya.
Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya.
Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?
Katiba mpya ni muhimu kwa kipindi hiki cha sasaAsilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya.
Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya.
Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?
CCM HAITAKI KATIBA MPYAAsilimia kubwa ya Wananchi wa Tanzania wanataka Katiba Mpya. kabla ya uchaguzi mkuu 2025. Mimi sijaelewa kuna tatizo gani kuhusu Katiba Mpya.
Suala la elimu kwanza kwangu siyo kupaumbel changu sisi wananchi tunataka Katiba Mpya iwe Jua au mvua tunataka Katiba Mpya.
Woga wa nini kuhusu Katiba Mpya?