Mbona Takukuru wanakamata wagombea ubunge wa CCM pekee ina maana Chadema hakuna rushwa?

Mbona Takukuru wanakamata wagombea ubunge wa CCM pekee ina maana Chadema hakuna rushwa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Najiuliza tu.

Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda.

Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba.
Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee?

Au CHADEMA bado wako kwenye uchumi mdogo?

Maendeleo hayana vyama!
 
Najiuliza tu.

Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda.

Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba.
Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee?

Au CHADEMA bado wako kwenye uchumi mdogo?

Maendeleo hayana vyama!
Wanafanya maigizo ili ionekane wanawashughulikia CCM pia
 
Najiuliza tu.

Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda.

Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba.
Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee?

Au CHADEMA bado wako kwenye uchumi mdogo?

Maendeleo hayana vyama!
Wewe unaulizachooni kuna nuka nini?
 
Najiuliza tu.

Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda.

Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba.
Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee?

Au CHADEMA bado wako kwenye uchumi mdogo?

Maendeleo hayana vyama!
😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Huku Serukamba, kule Lusinde. Ukienda Manyovu Takukuru wana MTU washakula naye sahani moja.
Shinyanga watu wamekamatwa wakigawa kanga kufukuzia ubunge.
Yaani tuhuma nchi nzima, watu wa CCM wameshaanza kupikiwa ubwabwa ili wachague walio nunua huo ubwabwa.
Hii inaonyesha picha gani kuhusu CCM? Kwamba bila rushwa mambo yao hayaendi? Au na zile atowazo Rais Magufuli barabarani nazo ni rushwa? Jee na zile makanisani sijui kufadhili kwaya, kumalizia ujenzi nk hivi nazo sio Rushwa?
Hiki chama kingefungiwa walao kwa miaka miwili tuu kingerudi kuwa chama cha siasa tofauti na sasa kimekuwa genge la wahuni na matapeli watupu.
 
Najiuliza tu.

Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda.

Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba.
Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee?

Au CHADEMA bado wako kwenye uchumi mdogo?

Maendeleo hayana vyama!
Mbatizaji, hapo ndipo utakapotambua tofauti kati ya maendeleo ya vitu na yale ya watu. Hiki kielelezo cha wazi kuhusu maana ya maendeleo ya vitu ambayo kila siku tunasikia yakihubiriwa, kusifiwa na kupigiwa debe la nguvu na viongozi wakuu wa chama chetu pendwa.
 
Huku Serukamba, kule Lusinde. Ukienda Manyovu Takukuru wana MTU washakula naye sahani moja.
Shinyanga watu wamekamatwa wakigawa kanga kufukuzia ubunge.
Yaani tuhuma nchi nzima, watu wa CCM wameshaanza kupikiwa ubwabwa ili wachague walio nunua huo ubwabwa.
Hii inaonyesha picha gani kuhusu CCM? Kwamba bila rushwa mambo yao hayaendi? Au na zile atowazo Rais Magufuli barabarani nazo ni rushwa? Jee na zile makanisani sijui kufadhili kwaya, kumalizia ujenzi nk hivi nazo sio Rushwa?
Hiki chama kingefungiwa walao kwa miaka miwili tuu kingerudi kuwa chama cha siasa tofauti na sasa kimekuwa genge la wahuni na matapeli watupu.
Wagombea wengi wanaamini kuwa ukiteuliwa na CCM kuwa mgombea basi ni kama umeshakuwa mbunge. Hii ni kwa sababu wanategemea dola itawabeba hata kama watashindwa kwenye uchaguzi.
 
Huku Serukamba, kule Lusinde. Ukienda Manyovu Takukuru wana MTU washakula naye sahani moja.
Shinyanga watu wamekamatwa wakigawa kanga kufukuzia ubunge.
Yaani tuhuma nchi nzima, watu wa CCM wameshaanza kupikiwa ubwabwa ili wachague walio nunua huo ubwabwa.
Hii inaonyesha picha gani kuhusu CCM? Kwamba bila rushwa mambo yao hayaendi? Au na zile atowazo Rais Magufuli barabarani nazo ni rushwa? Jee na zile makanisani sijui kufadhili kwaya, kumalizia ujenzi nk hivi nazo sio Rushwa?
Hiki chama kingefungiwa walao kwa miaka miwili tuu kingerudi kuwa chama cha siasa tofauti na sasa kimekuwa genge la wahuni na matapeli watupu.
Kwani hujui mapapa wa ufisadi wamejaa CCM?!!
 
Futa takukuru asubuhi imarisha polisi na idara ya mashtaka na wote wafanye uchunguzi
Takukuru ilipaswa kiwe kitengo polisi
Madawa ya kulevya kiwe kitengo polisi
Ugaidi kiwe kitengo polisi na huko


Takukuru wanakamata wanashikili wanashitaki kwa kushirikiana na DPP hii si nzuri


Lkn endeleen kwan siku zenu zinahesabika
 
Back
Top Bottom