Mbona ufugaji na biashara ya nyama na mayai ya kware umeyeyuka ghafla?

ukitaka kupata wateja sema "nyama yake inaongeza nguvu za kiume"


Nilitajirika sana mwaka jana nilipokwenda Dar, wanaume wa kule niliwaambia mayai ya kunguru ukichanganya na mtindi yanarefusha dushe na kuongeza nguvu za kiume.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ngoja tu nimalizie hii tumbaku nikukumbushe pia ufugaji wa sungura na faida za mkojo wa sungura bila kusahau kuchi wa shilingi laki tatu mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…