majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
wakenya walivyowanafiki, mwanzo wa vita walikuwa upande wa amini, mambo yalipomgeuka amini wakajidai kuisapoti Tanzania, wanafiki sanaVita ya kagera
Tanzania alipigana na
UGANDA
LIBYA
USA
na tukashinda [emoji81][emoji81][emoji81][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nimechekaaa weeee hiiiiiiiTPDF sasa inajigamba na silaha za.kichina. silaha ambazo ni copy and paste kuota Ussr. Hizi silaha hazijatumika kwa vita vyema kujulikana kama ni imara. Izo ndege sijui J9 ambazo ni mig 21 old model zaweza pigwa na kungatuliwa na jiwe tuseme mjaluo akirusha. Ndege bure kabisa. Tz wakauzwa kwa mchina wasijue la kufanya. Atleast sasa hawatumii mishale tena na panga uko.
Amin alifikiri anajua siri za JW kwa sababu alijifunzia jeshi TanzaniaTuliza viroba dogo. Sitishiki kwa historia. Ukweli ni kuwa idi amin dada aliamua bongo ni nchi ya kumilikiwa kiraisi
hahahaaa kdf walitoka nduki.....na heri tuelekeze uganda maana unaelewa kenya hamna kitu, nakumbuka pindi jeshi la ethiopia lilikosea likavamia kambi ya jeshi kaskazini mwa kenya kdf wakatimua mbio kama mgambo, ingetokea tanzania, hiyo vita mwisho wake ingekuwa addis ababa
lakini kdf ni ovyo pamoja na vyombo vyenu vyoote vya ulinzi mi nilichoka tu pale westgate jamaa watatu na demu mmoja jumla wanne wa al shabaab wameingia westgate wamefanya yao majeshi yenu yakazingira westgate yote jamaa wakangoja mpaka saa 2 usiku wakaswali huku tukiwaona kwa CCTV wakamaliza na wakaondoka huku makomando wako hapo wanashangaa shangaa ...Cha kushangaza TZ aikuwa na uasama wowote na Uganda kama Kenya. Idi amin alidhani TZ kuwa nchi hafifu sana isiyo na mwelekeo na kuelekeza chuki yake dhidi ya Kenya uko. Cha muhimu kujua ni kuwa aliogopa kuishambulia Kenya manake alijua ni nchi hatari sana na jeshi imara. Tz bado icho kipindi aikuwa na jeshi kamili wengi Katika TPDF walikuwa na panga na mishale aisee. Ukishangaa ya musa....
Kila siku Ethiopian army huingia upande wa Kenya. Nah jamaa hubaki kubweka kama mbwa koko.hahahaaa kdf walitoka nduki.....
WAHABESHI WALISHAWAJUA JAMAA NI WEUPE!Kila siku Ethiopian army huingia upande wa Kenya. Nah jamaa hubaki kubweka kama mbwa koko.
KENYA UKIAMUA UNAWEZA KUINGIA IKULU NA KUTOKA BILA YEYOTE KUJUAlakini kdf ni ovyo pamoja na vyombo vyenu vyoote vya ulinzi mi nilichoka tu pale westgate jamaa watatu na demu mmoja jumla wanne wa al shabaab wameingia westgate wamefanya yao majeshi yenu yakazingira westgate yote jamaa wakangoja mpaka saa 2 usiku wakaswali huku tukiwaona kwa CCTV wakamaliza na wakaondoka huku makomando wako hapo wanashangaa shangaa ...
ACHA UKORA WEWE, MBONA MUSEVENI KAJICHUKULIA KISIWA CHA MIGINGO NA MMEFYATA MKIA? PIA KALIITA JESHI LENU NI LEGELEGE, MNGEMZUIA BASI! KAZI KUJIDAI MNAJUA TU HUKU NI ZEROKusema ni tofauti na kutenda. Muulize alipitia nini alipojariku kuattack Western Kenya. Uliza Idi Amin nini ilifanyika alipotaka kunyakua Kenya hadi Naivasha.
Unataka tena mu host an invasion ?Sasa si mtuvamie muone, mpewe adabu mkalie kwa baba yenu us
Kuita sio kupigana malenge wewe. There's a capslock key on your computer, make good use of it.ACHA UKORA WEWE, MBONA MUSEVENI KAJICHUKULIA KISIWA CHA MIGINGO NA MMEFYATA MKIA? PIA KALIITA JESHI LENU NI LEGELEGE, MNGEMZUIA BASI! KAZI KUJIDAI MNAJUA TU HUKU NI ZERO
JARIBU TU, TENA KWA KDF YENU SIKU SABA NI NYINGI SANA, MTAIONA KENYA CHUNGU, KWA MARA YA KWANZA MTAJUA MTLINGA WA TANZANIA, MAANA MNAUSIKIA TU, JW SIO KDF WEWEUnataka tena mu host an invasion ?
HahahahaaKENYA UKIAMUA UNAWEZA KUINGIA IKULU NA KUTOKA BILA YEYOTE KUJUA
ACHA USHAMBA, IT IS MY CHOICE,Kuita sio kupigana malenge wewe. There's a capslock key on your computer, make good use of it.
Hivi nyie mmeshawahi pigana vita gan mkashinda ?Kuita sio kupigana malenge wewe. There's a capslock key on your computer, make good use of it.
ANAIJUA HISTORIA VIZURI?Kwanini Milton Obote alikimbilia Tanzania not Kenya? 😀