majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
wasomali kila siku wanamwaga damu ya wakenya na jeshi lao legelegeTushawai pigana gani tukashindwa?
naona tunamwelimisha tu aelewe historia na kwamba Tanzania ni kiranja mkuu katika ukanda huu wa afrika ya masharikiUmempendelea mno, haka kakijana kamaezaliwa 2009, hapa anatest simu mpya aliyomuibia kaka yake.
hujielewi hata kidogoTulishinda baada ya waingereza kuja kutupa backup...mganda alikuwa supported na libya na tulichakazwa.
eti makomando gani hao??al shabaab wameondoka kitambo wao ndo wanaingia westgate ndani badala ya kufanya kazi iliyowapeleka wao wanaanza kudokoa mifuko ya sukari..!!mmoja akaona sanduku limefungwa akaanza kupambana nalo akitaka kulifungua ili akwibe kilichokua ndani..akaangaika nalo weeee hadi likamshinda kufungua akaamua kuachana nalo..mbaya zaidi hawakujua kama kuna CCTV camera zinawarekodi..We Kenya kwanin Luna makomando ,?na kama WAPO wengi wanawake coz waoga hawana weledi kabisaaa ,sasa itakua wakike bleed inawasumbua katika mazoezi