Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sio kawaida ya hawa Matarumbeta kushangilia Kila kitu, what happened? Hizi kelele za mitandaoni wangekua wameshasema neno, hii "Nyongeza" wameamua kuikalia kimya, au ni pesa ya vocha?
Samia anaupiga mwingi sio?
Samia anaupiga mwingi sio?