Bongalala watatoa wapi utofauti?Aisee hii ni hatari, hivi wanashindwa kuja na vitu tofauti kweli
Kwasabu za wabongo wanafanya copy and paste.
Ona hii imefanyika south Africa.
CopyView attachment 440802View attachment 440803View attachment 440804
PasteView attachment 440806View attachment 440807View attachment 440808
Wabongo are not original na hawana exposure ndiyo maana the same producer anafanya faster kumaliza video ya mbongo ili akaumize kichwa kumalizia video ya mtu wa SA mwenye exposure ya kutosha ambaye hawezi kukubali video janja-janja.
Mimi nimezipata hizi, kama unazo za kiba zilete hapa hata huna haja ya kutokwa mapovu.Ungeonekana wa maana kama unguweka pia za kiba alizokopi .......
lakini kwa wivu wako...kunywa maji dada
Hahahaha wazee wa kununua views banaUngeonekana wa maana kama unguweka pia za kiba alizokopi .......
lakini kwa wivu wako...kunywa maji dada
wamekuwa kama rain bowHao watengenezao video south kwa bongo zote zinafanana hadi zinakuwa hazina jipya, siku hizi had colour mbaya
hivi mnajua maana ya copy & paste??????Kwasabu za wabongo wanafanya copy and paste.
Ona hii imefanyika south Africa.
CopyView attachment 440802View attachment 440803View attachment 440804
PasteView attachment 440806View attachment 440807View attachment 440808
Wabongo are not original na hawana exposure ndiyo maana the same producer anafanya faster kumaliza video ya mbongo ili akaumize kichwa kumalizia video ya mtu wa SA mwenye exposure ya kutosha ambaye hawezi kukubali video janja-janja.
Mbaya zaidi wanacopy ideaNikitazama video za emtee mfano roll up na hii mpya sijui inaitwaje naona kali kuliko video za wasanii wetu.
Hata video ya divido ft uhuru - sound iko safi.
Sisi zetu ka zinafanana hawa S.A watakuwa wanawapa second products wasanii wetu sio bure...
Humu kiba ameingiaje mkuu... Kama huna point lalaUngeonekana wa maana kama unguweka pia za kiba alizokopi .......
lakini kwa wivu wako...kunywa maji dada
Kwa nini uige kazi ambayo mwenzako ameitolea jashohivi mnajua maana ya copy & paste??????
semeni ameiga mahadhi fulani ya video fulani!!
sio copy & paste
halafu hio ya diamond ambayo ndo mnasema idea kaiga kwa lily whyne
ndio nzuri kuliko hao wenye idea yao!!!!!!
wamatopeni mtupishe
Wanaongelea video sio audio. Audio zinatengenezwa bongo video ndiyo south Africa. Kama huwezi kutofautisha vitu vidogo kama hivi huwezi walaumu wasanii wetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndio ww chunguza sana
utajua
bila kujieleza huwezi pata unachotaka..
sio kama unapoenda kwa mensen, beat limewekwa unasema hapo mesen weka basi tarumbeta,kata hapa weka sijui nini..
ukiwa kwa dj maphorisa kazi yako kuitikia
yes,no
Hakuna kitu kipya kwenye videos. Ninaweza kutaja video 1000 zenye vipande kama hivyo. Jaribuni hata Ku Google maana ya copyright infringement kabla hamjabwabwaja. Ngoja nikuulize swali; nikitoa video Leo naendesha gari nitakua nimecopy?Kwasabu za wabongo wanafanya copy and paste.
Ona hii imefanyika south Africa.
CopyView attachment 440802View attachment 440803View attachment 440804
PasteView attachment 440806View attachment 440807View attachment 440808
Wabongo are not original na hawana exposure ndiyo maana the same producer anafanya faster kumaliza video ya mbongo ili akaumize kichwa kumalizia video ya mtu wa SA mwenye exposure ya kutosha ambaye hawezi kukubali video janja-janja.
Jibu n raisi director wanao direct izo video hawa direct video za wasanii wa bongo mfano roll up imefanya n Ofentse Mwase Films uku the sound imefanywa n seasan nyimbo nyingi za bongo zinashootiwa n godfather, Justin Campos, Nick n meja alabNikitazama video za emtee mfano roll up na hii mpya sijui inaitwaje naona kali kuliko video za wasanii wetu.
Hata video ya divido ft uhuru - sound iko safi.
Sisi zetu ka zinafanana hawa S.A watakuwa wanawapa second products wasanii wetu sio bure...
Taja hizo video 1000Hakuna kitu kipya kwenye videos. Ninaweza kutaja video 1000 zenye vipande kama hivyo. Jaribuni hata Ku Google maana ya copyright infringement kabla hamjabwabwaja. Ngoja nikuulize swali; nikitoa video Leo naendesha gari nitakua nimecopy?
Leo nikitoa video naendesha gari nitakua nimecopy?Taja hizo video 1000
Leo nikitoa video naendesha gari nitakua nimecopy?
video ya Kokoro ni copy ya Love Me by Lil Wayne feat. Drake & Future.