Mbona wabunge wa CCM wanakumbana na aibu kubwa Sana majimboni kwao?

Mbona wabunge wa CCM wanakumbana na aibu kubwa Sana majimboni kwao?

Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sana

View attachment 2135981
View attachment 2136014
Hili tangazo linaonesha mkutano ulikuwa uwe leo Tarehe 2 March na ndio umeahirishwa, wewe unasema alikosa watu ndio maana ukaahirishwa, ni ama hili tangazo alihusiani na habari yenyewe ( kwa maana mkutano aliokosa watu ni mwingine), au kukosekana kwa watu huko kwingine ndio kumepelekea huu mkutano wa Mbugani kuahirishwa AU umeamua tu kutunga hadithi kwa chuki zako!
 
Mpaka muda huu teknologia ilivyokuwa bado Kuna mbunge anafikiria kukusanya watu waache shughuli zao kwenda kumpigia makofi? Wabunge waombe vipindi kwenye tv waonyeshe kazi zao na Kila Jimbo kuwe na screen kubwa kama za matangazo Ili wabunge wawe wanapositi kazi zao hapo kwenye screen tuwe tunaangalia wenyewe tunawapima kazi zao kwa muda wetu.

Mkuu uko sahihi, tatizo sio technology bali ni uhalali wa umma. Kama unakubalika, watu wataacha shuguli zao na kwenda kukusikiliza. Huoni watu wanaenda uwanjani kuangalia mpira wakati unaonyeshwa kwenye TV?
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sana

View attachment 2135981
View attachment 2136014
goli la mkono.
 
Hili tangazo linaonesha mkutano ulikuwa uwe leo Tarehe 2 March na ndio umeahirishwa, wewe unasema alikosa watu ndio maana ukaahirishwa, ni ama hili tangazo alihusiani na habari yenyewe ( kwa maana mkutano aliokosa watu ni mwingine), au kukosekana kwa watu huko kwingine ndio kumepelekea huu mkutano wa Mbugani kuahirishwa AU umeamua tu kutunga hadithi kwa chuki zako!
Yupo mtaani toka juzi huo Ni mkutano wa pili baada ya kwanza kukosa watu
 
Mkuu uko sahihi, tatizo sio technology bali ni uhalali wa umma. Kama unakubalika, watu wataacha shuguli zao na kwenda kukusikiliza. Huoni watu wanaenda uwanjani kuangalia mpira wakati unaonyeshwa kwenye TV?
Trump America anakusanya ma elfu kwa ma elfu, Kama unapendwa watu watakusikiliza tu
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sana

View attachment 2135981
View attachment 2136014
Sote tunajia hawakuchaguliwa ila thread yako ndo inaonesha kuwa walichaguliwa na ww huelewi kwann wamesusua ilihali unafahamu wato wameingia kwa mchongo
 
Mkuu uko sahihi, tatizo sio technology bali ni uhalali wa umma. Kama unakubalika, watu wataacha shuguli zao na kwenda kukusikiliza. Huoni watu wanaenda uwanjani kuangalia mpira wakati unaonyeshwa kwenye TV?
Umenikumbusha Enzi za Tundu Lissu hakuwa na Bango hata moja nchi nzima, hakuna gazeti wala redio lilitangaza habari zake. Picha za mgombea wa ccm zilijaa hadi kwenye majengo ya vyoo.
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sana

View attachment 2135981
View attachment 2136014
FB_IMG_1645601155648.jpg
 
Sote tunajia hawakuchaguliwa ila thread yako ndo inaonesha kuwa walichaguliwa na ww huelewi kwann wamesusua ilihali unafahamu wato wameingia kwa mchongo
[emoji1][emoji1]
 
Umenikumbusha Enzi za Tundu Lissu hakuwa na Bango hata moja nchi nzima, hakuna gazeti wala redio lilitangaza habari zake. Picha za mgombea wa ccm zilijaa hadi kwenye majengo ya vyoo.
Ule uchaguzi sitosahau
 
Back
Top Bottom