Mbona wabunge wa CCM wanakumbana na aibu kubwa Sana majimboni kwao?

Ata America watu wanajazana kuwasikiliza wabunge wao
Hao ni followers wao yaani Kuna mambo wanakuwa wanayakubali kutoka kwao hivyo wanakwenda kuwasapoti, Sasa huku mbunge anakuja akiwa Hana alichofanya kiasi cha kuwakuna watu mioyo yao na yeye anakaa jukwaani kulalamika kama wananchi Sasa nani atamfollow mtu wa hivyo kiasi cha kuacha kazi zake?
 
Wote waliopata kitonga uchaguzi ujao pia watapata kitonga...

Otherwise watakiona cha moto
 
Shida iko hapo jamaa aliwapambania wote waingie Bungeni kwa kutumia tume ya uchaguzi,polisi na usalama wa Taifa kwa nia moja ovu sana mabadiliko ya katiba yapite bila kupingwa 100% atawale milele sawa lakini ya kesho ni Mungu tu ndie ajuae.imekuwa historia.
 
nasikia hata kuchefuchefu unavyoita wabunge. walichaguliwa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…