KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Kila sehem wapo, Magerage wapo, maduka, karikoo wanaanza kuishika, mitaani wamejaa, kwenye viwanja vya ndege wapo, Mabondo ndo wamewekana kila level, yani humuuzii mchina wa juu bila kuwauzia wachina wa mitaani. Vidispensary wamevijaza kila kona
Hawa wanaongezea dola kupanda maana wanachuma hela na kuziba mianya ya waTanzania mwisho wanabadilisha hela yetu wanaondoka na dola.
Hivi serikali yetu ni serikali inayopenda mema ya waTanzania au mema ya wachina
Naiomba serikali iingilie kati kiukweli
Hawa wanaongezea dola kupanda maana wanachuma hela na kuziba mianya ya waTanzania mwisho wanabadilisha hela yetu wanaondoka na dola.
Hivi serikali yetu ni serikali inayopenda mema ya waTanzania au mema ya wachina
Naiomba serikali iingilie kati kiukweli