MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Mwanakijiji inawezekana kabisa hakuwa moyoni mwako wewe kwa sababu kama alikuwepo ni wewe ambaye ulitakiwa kuiondoa ile "kaka" aliyokuwa anakuita, ni wewe ambaye ulitakiwa kuuvunja ukimya umesahau mabinti wa enzi hizo hawakuwa na ujasiri wa kujitokeza na kung'ara kama kiwi!!
Sikitika tu kisha uende zako kwani si wako ni wa mwenzako.
Sikitika tu kisha uende zako kwani si wako ni wa mwenzako.