MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Sasa akimletea mumewe vitimbi akaachika akitumaini tutakuwa pamoja itakuwaje? Oh well..haya mambo nasikia hayana kanuni..
Kwani wewe uko tayari kubeba mzoga(dead ball?)
Akiachika huyo hakufai tena, nadhani wewe unahitaki kitu kipya, na si mtu aliyeshindikana.
Go higher bana, huyu tayari yuko low kwako, anakutafutia risk.
Kwani wewe uko tayari kubeba mzoga(dead ball?)
Akiachika huyo hakufai tena, nadhani wewe unahitaki kitu kipya, na si mtu aliyeshindikana.
Go higher bana, huyu tayari yuko low kwako, anakutafutia risk.
MM naona unajitafutia kujijustify! endelea but unajua la kufanya...!
Kwani mke wa mtu hamegeki? Kwa taarifa yako hao ndio huwaga watamu zaidi...
Mwanakijiji inawezekana kabisa hakuwa moyoni mwako wewe kwa sababu kama alikuwepo ni wewe ambaye ulitakiwa kuiondoa ile "kaka" aliyokuwa anakuita, ni wewe ambaye ulitakiwa kuuvunja ukimya umesahau mabinti wa enzi hizo hawakuwa na ujasiri wa kujitokeza na kung'ara kama kiwi!!
Sikitika tu kisha uende zako kwani si wako ni wa mwenzako.
Sasa akimletea mumewe vitimbi akaachika akitumaini tutakuwa pamoja itakuwaje? Oh well..haya mambo nasikia hayana kanuni..
Angalizo: Wako dada zetu wengi tuu wana maisha mzuri, nyumba, gari, pesa lakini wako kwenye mateso ya moyo, hivyo vingine vyote ni bure, ukimsaidia mtu wa aina hii hata kwa liwazo tuu la moyo 'not doing', unapata baraka kwa Mungu.
Nini sasa na wewe?ππππ
Sasa akimletea mumewe vitimbi akaachika akitumaini tutakuwa pamoja itakuwaje? Oh well..haya mambo nasikia hayana kanuni..
Sasa umeolewa na una mme unayesema unampenda. Tumekutana baada ya miaka hii yote. Tulikuwa marafiki wa karibu hadi watu "walidhania". Sasa tumekutana unanilaumu.. kwanini sikukuomba moyo wako. Umesahau kuwa ni wewe uliyekuwa ukiniita "kaka"..? Leo wanilaumu wadai kuwa ulikuwa unasubiri nikuombe....
sijui nilie, nicheke, au nisikitike?
Kumbe na wewe umemuona eh?...... tena anasema anakwenda kulilalia ili aoteshwe lol
Mwanakijiji kaka yangu umenasa!
Ukimuonja anaweza kujikuta anafanya hivyo. Ndio maana wadau wanasema usionje tafadhali! Kama uliweza kuvumilia enzi hizo akiwa bado mbichi, utashindwaje sasa?
Masaki uko likizo? maana siku hizi mahudhurio yako mazuri!!
Ushauri mzuri huu
MJ1 mbona unazidi kumkwaza Mwanakijiji? Hilo la kuitwa kaka ndilo lilimponza akakosa tunda ''enzi hizo''.