Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.. Ila nilimahawishi rafiki yangu akanunua hii.Kwaio una nissa x trail au?
Mkuu jikite kwenye kuwaza where you will get the next meal. Wee Endelea kujichanganya tu nakuzidi kudumaza IQ yako ambayo tayari ina mushkhel.Kuna magari aina ya Toyota lakini Yana nguvu na speed sana. Mfano, Toyota landcruiser V8 lina nguvu imara na speed Sana BMW akasome , Subaru zote hapa zinakaa keti kwa huu mnyama.
Lakini kumekuwa na hulka ya watu kuponda magari aina ya Toyota sijui kwanini.
Sio kwamba wanayapenda bali, wanapotaka kununua vitisho kibao mara spare hakuna mara mafundi hawapo nk mwishowe mtu ananunua toyota bila kupenda, vilevile wanafuata choice ya serikali, serikali ikiamua kuwa inatumia aina nyingine basi na raia watafuata hukohukoKaribia 75%ya magari yote yanayopatikana Tz ni Toyota, na nadhani kwa Africa sisi ndo tunaongoza kuagiza haya magari, tunayapenda sana
Mkuu hilo nipe mimi wewe nunua Toyota[emoji1]Mkuu unazingua.
Hamna Gari rahisi kudalalia kama Toyota
Nina Nissan Xtrail nazunguka nayo hakuna hata mteja anaeulizia,
Ila ingekuwa Toyota ingeshaisha zamani.
mTanzania na Toyota ni kama Mbwa na mfupa
Wish ni ToyotaTatizo hata waoponda toyota wanatumia Wish na nissan tiida.. hebu tuacheni ni IST zetu bana..
FJ Cruiser, Sequoia....Brand za Toyota zipo Marekani na zinapendwa balaa kutokana na uimara wake. Mfano, Toyota Corolla, IST, Camry, Kluger aka Highlander, Surf aka 4Runner na nyingine kibao tu.
Maisha haya bana. Wakati mi ndo napambana nivute kaVitz kapyaaa kumbe wengine wanaponda dah [emoji51]Zinazopondwa ni hizi
Porte
Fun cargo
Vitz nk
Maisha haya bana. Wakati mi ndo napambana nivute kaVitz kapyaaa kumbe wengine wanaponda dah [emoji51]
Kwa uimara sawa, ila hapo kwa speed na nguvu kule ulaya ndo making wa horsepowersKuna magari aina ya Toyota lakini Yana nguvu na speed sana. Mfano, Toyota landcruiser V8 lina nguvu imara na speed Sana BMW akasome , Subaru zote hapa zinakaa keti kwa huu mnyama.
Lakini kumekuwa na hulka ya watu kuponda magari aina ya Toyota sijui kwanini.