ACT ipo ZANZIBAR kwa kija Jussa
Mbona mfano unautoa haufanani na hoja iliyopo mezani??Unauliza mbowe na chadema ndio zitto na act hawa ndio wamiliki wa hivi vyama
Wewe ?Huyo mama kazi yake ni kufungua makongamano tu
Maria sarungi ni keyboard warrior na mfata mkumboHiyo mama Hana mvuto wa kisiasa. Hiyo nafasi anageishika Fatma Karume au Maria Sarungi Hali ingekuwa tofauti.