Mbona Zitto Kabwe anasikika zaidi na kufaya majukumu ya Kiongozi wa chama aliyemrithi Dorothy Semu?

Mbona Zitto Kabwe anasikika zaidi na kufaya majukumu ya Kiongozi wa chama aliyemrithi Dorothy Semu?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1723308130690.jpeg


Sina cha kuandika zaidi, naomba comments zenu
 
Alikuja Kirando Republic na kufanya mkutano pia alidai ametumwa na chama kukusanya wanachama.
 
Ndiye mwenye ushawishi
Kwa Uhai wa chama anapaswa kufanya hivyo
 
Unauliza mbowe na chadema ndio zitto na act hawa ndio wamiliki wa hivi vyama
 
Hiyo mama Hana mvuto wa kisiasa. Hiyo nafasi anageishika Fatma Karume au Maria Sarungi Hali ingekuwa tofauti.
 
Kusema ukwel apa ndo nme mjua mwenyekiti wa ACT nilkua simjui kabsa
 
Back
Top Bottom