MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Mtoto wa gheti Kali masaki
Hilo neno ndio nalisikia kwa mara ya kwanza kutoka kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo neno ndio nalisikia kwa mara ya kwanza kutoka kwako
Isotoshe amekosea. Wakisema fusso tandamu maana yake ni tani 15.Sio kweli mkuu hilo neno halina umaarufu kwa wananchi wengi kama unavyotaka kuuaminisha umma
Ngoja waje na wengine
Hilo neno kinatumika sana kwenye fuso kutofautisha tani 10 na 15Asante,
Binafsi nimelisikia sana, na mawazo yangu ilikua ni gari yoyote kubwa inayobeba mizigo,
Kuna watu hata fuso huita Tandam.
Mimi mwenyewe pia silijui mkuu na wala sio wakishuaUtakuwa wa ushuani wewe sio bure mkuu...hili ni neno maarufu sana kwenye sekta ya usafirishaji tanzania hasa kwenye magereji, masoko makubwa ya mazao kv mahindi nk
Kuna terminologies fulani kama hauko vizuri sana kwenye ku-socialise huwezi zifahamu kabisa!!
HahahDah...umenikumbusha...kuna siku nilikaa na madereva wa mabasi ya mkoa...sikuambulia kitu kwenye maongezi yao...kwani maneno kama chips kavu..maini rost..slesi tupu ndiyo aina za mabasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnara najua maana yake ... Mara ya kwanza kusikia hilo neno nilikuwa siwaelewi kabisaJamaa wana misamiati yao utasikia "mnara" "mahakama" basi we utajua mahakama kweli!!
We jaluo ya kweli haya!? vipi huko kenya wanawake wenye wezele ndo mnaita tandamu!,!?