Mboni Masimba ajifungua mtoto wa kiume

Segito wa Kalenga

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
609
Reaction score
864
Leo asubuhi nikiwa katika pitapita zangu nimekutana na mtu akimpongeza Mboni kwa kujifungua mtoto wa kiume.
Hii imekuja kama suprise kwangu kwani wakati wote wa ujauzito alikuwa kimya tofauti na mtaa wa pili wanavyoinadi mimba ya wifi wa taifa na angalau sasa walimwengu watapunguza kuongea maneno yao ya kukera nafsi.

Hongera sana Mboni Masimba.Mola akukuzie Inshaalah.
 
Nini maana ya kuchagua picha hiyo na si nyingine zozote!? It is deliberately done to deliver a certain msg for unknown/ known reasons

Sijakuelewa mkuu naomba unieleweshe kidogo umeniacha kabisa.Je ni picha gani waiongelea?
 
Sijakuelewa mkuu naomba unieleweshe kidogo umeniacha kabisa.Je ni picha gani waiongelea?

Kwanini ionyeshwe picha ya vidole vilivyoshikana na vingine kuachana na si nyingine zozote?

BTW ukitaka kuonyesha picha ya kwa mfano mwanao utaonyesha sura au miguu?
 
Niliiona mimba yake wakati akimhoji Idris kwenye show yake TBC1.
Hongera mama maana ulisemwa sana.
 
Karibu kwenye chama mboni na hongera kwa kuwa mama.
 


Mbona ana mguu kama wa mtu mzima! sa mguu wote huo ulipitaje
 
Hongera sana Mboni kuitwa mama raha jamani regardless of the old age
 
Kwanini ionyeshwe picha ya vidole vilivyoshikana na vingine kuachana na si nyingine zozote?

BTW ukitaka kuonyesha picha ya kwa mfano mwanao utaonyesha sura au miguu?

Hahahaaaaa.wewe ndio hujaelewa mkuu.Huyo ni binti wa kiislamu.Maadili ya uislamu mtoto na mama watakaa ndani siku 40 baada ya uzazi ndipo watatoka nje na kutuonyesha mtoto na mama yake.Na hapo hakuna kidole kilichoshikana ni picha tu ndio imetoka vibaya mkuu nadhani umenielewa.
 

Asante kwa ufafanuzi segito wa kalenga
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…