Mboni Show hongera

Mboni Show hongera

kitero

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
563
Reaction score
109
Nimeangalia kipindi cha mboni show siku ya leo jmos tar 18.1.14 hakika kilikuwa kizuri na nimekipenda wageni waaliku walijitahidi kuzungumzia mengi sana.Waalikwa ni George Masatu Dua Saidi na CBE big up mmenikumbushia enzi za uchezaji wenu mkiwa na akina
Mwameja, anko Tom, Athuman China,Kizota na wengineo.kwa mwandaaji naomba mtitahidi kidogo na kufikia mbali mngejaribu kidogo kutuwekea hata picha/ video zao za kipindi hicho.
 
Nimeangalia kipindi cha mboni show siku ya leo jmos tar 18.1.14 hakika kilikuwa kizuri na nimekipenda wageni waaliku walijitahidi kuzungumzia mengi sana.Waalikwa ni George Masatu Dua Saidi na CBE big up mmenikumbushia enzi za uchezaji wenu mkiwa na akina
Mwameja, anko Tom, Athuman China,Kizota na wengineo.kwa mwandaaji naomba mtitahidi kidogo na kufikia mbali mngejaribu kidogo kutuwekea hata picha/ video zao za kipindi hicho.

mkuu kitero,msalimie sana CBE mwambie tukumbukane bhana.
 
Last edited by a moderator:
hongera,naona unajitahidi kufuatilia thread,BIG UP
 
Back
Top Bottom