Madale mnajaribu kumshindanisha Mbosso na Aslay na hapo ndipo mnapompa presha na kumuharibu huyu mtoto.
kwa Ushauri huyu mtoto anahitaji uangalizi makini Ili afike level ZA Aslay na wala mashindanisho.
Sijawahi kukuunga mkono ila kwa hili nakubariana na wewe. Pressure ya WCB kushindana na watu ndiyo inafanya watoe nyimbo mbovu mtu hafanyi kitu akiwa ka relax mwisho wa siku ufundi mwingi uharibu mchuzi
Personally mimi shabiki wa wcb hasa diamond so usidhan kila anayesema jambo tofauti siyo shabiki.wcb awana wa kushindana nae wanafanya yao kwa shabik zao msiwaonee kijicho
MamboAhaah yaan wewe
ndio nimekujulishabsasa wcb awashindani na mtu watu wanajaribu kuwasemea mbovu mbona awasemi kuusu label zingine wasanii wao wakitoa nyimbo ooh wanatafuta kiki sasa mlitaka wakalimePersonally mimi shabiki wa wcb hasa diamond so usidhan kila anayesema jambo tofauti siyo shabiki.
Ukweli na ni ukweli uliodhahiri kuna pressure ya ufanyaji kazi na hii inatokana na wao kutaka ku meet expectations za mashabiki na kuonyesha pia wao ndiyo wakali.
Hili si jambo la ajabu ni jambo la kawaida kwa kila mtu akiwa kafika level flani hujikuta anafanya vitu under pressure
Ukubwa ni pamoja na kusema huwezi kusemwa usipokuwa mkubwa. Ukiwa mkubwa utasemwa sana kwa mazuri na mabaya hivyo usishangae.ndio nimekujulishabsasa wcb awashindani na mtu watu wanajaribu kuwasemea mbovu mbona awasemi kuusu label zingine wasanii wao wakitoa nyimbo ooh wanatafuta kiki sasa mlitaka wakalime
watu awajapenda mbosso atoboe wanaona kama atamzibia mtu na wkt kila mtu na rizki yake mzee babaKwani ana haters?!!
Ukubwa ni pamoja na kusema huwezi kusemwa usipokuwa mkubwa. Ukiwa mkubwa utasemwa sana kwa mazuri na mabaya hivyo usishangae.
Hata clouds inasemwa sana kwakuwa ndiyo redio kubwa hakuna kingine.
Kataa ukubari wana pressure kwasababu people keep demanding good music from them na ni matarajio ya wengi vitu vipya na vizuri vitoke wcb halafu wengine waige
Poa za weweMambo