Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Madale mnajaribu kumshindanisha Mbosso na Aslay na hapo ndipo mnapompa presha na kumuharibu huyu mtoto.
kwa Ushauri huyu mtoto anahitaji uangalizi makini Ili afike level ZA Aslay na wala mashindanisho.
aslay anagusa mioyo/moyo
huyu kuna mahali anakosea ID yake inakuwa haipo maana aina hii ya nyimbo Rayvannavy yuko vizuri sana