Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Ni kama wale jamaa wa RT (RIADHA TANZANIA)diamond anabeba wanamuziki wabovu ili wasimfunike hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama wale jamaa wa RT (RIADHA TANZANIA)diamond anabeba wanamuziki wabovu ili wasimfunike hatari sana
Muungwana akikosea anakubali makosa yake. Huu uzi ulikuwa unahusu Mbosso sasa masuala ya Aslay yametoka wapi? Huu nimekuambia ni ushamba uliopitwa na wakati. Tatizo lako wewe ni ushabiki umekujaa mpaka huoni mambo ya maana. Sasa unaongelea pressure!!? Kwahiyo wanamziki wasitoe nyimbo? Umewahi kusikia wimbo wowote wa mbosso kama solo artist?Hata maana ya issues na personalities huijui umeandika tu.
Ningesema tatizo marombosso ni malaya halafu mfupi hiyo ni personality yake ila nimesema tatizo wcb wana work under pressure hiyo ni issue.
Usijali nitaendelea kukuelimisha taratibu.
Una swali la ziada?
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Wewe ndiye mshamba kweli na una uelewa finyu.Muungwana akikosea anakubali makosa yake. Huu uzi ulikuwa unahusu Mbosso sasa masuala ya Aslay yametoka wapi? Huu nimekuambia ni ushamba uliopitwa na wakati. Tatizo lako wewe ni ushabiki umekujaa mpaka huoni mambo ya maana. Sasa unaongelea pressure!!? Kwahiyo wanamziki wasitoe nyimbo? Umewahi kusikia wimbo wowote wa mbosso kama solo artist?
Yeye ndiyo mara yake ya kwanza kufanya hivyo. Ametoa nyimbo mbili tu. Halafu wewe unakuja na povu hapa.
Give him time kama wengine mlivyowapa muda.
Ninauhakika hiki unachokifanya ni undezi na ushamba fulani.
Dogo achakubwatuka kama mpumbavu. Uwe na heshima kwa wakubwa zako. Nakuona unaendeleza upuuzi wa kwenye FB humu. Hapa tunaongelea Mbosso. Masuala ya Aslay na wengine yametoka wapi?Wewe ndiye mshamba kweli na una uelewa finyu.
Umesoma hilo jibu nimemquote aliyesema aslay ndiye angefaa kuchukuliwa na wcb hapo ndipo nimemjibu kwa kumwongelea aslay.
And by the way mziki mzuri kweli hauhitaji muda ukiusikia tu moyo utasema wooow huu mziki mzuri hata kama lugha huielewi. Ukiona eti unajipa muda kuupenda mziki basi ujue siyo mzuri unaukariri upate kuuzoea.
halafu hata unayoyaandika huyaelewi.
Hivi somo langu la utofauti kati ya personalities na issues umelielewa au unahitaji mifano zaidi kijana?
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Mbona mgumu wa kuelewa we mwanafunzi wa shule ya kata.Dogo achakubwatuka kama mpumbavu. Uwe na heshima kwa wakubwa zako. Nakuona unaendeleza upuuzi wa kwenye FB humu. Hapa tunaongelea Mbosso. Masuala ya Aslay na wengine yametoka wapi?
Hapa inaonesha namna ulivyomshamba na mtu wa kuendekeza ligi. Kama ungekuwa na akili timamu ungejifunza niliyokuelekeza na kukaa kimya. Huoni mwenzako kakaa kimya baada ya kuona kakosea!?
Hizo ligi zebu hizo ni za kishamba. Wenzio wanajitafutia kipato, wewe unawakashifu hizo ni roho za kichawi.
Wimbo bora kabisa wa valentine ya 2018Haka kawimbo ukikaplay bank unapata mkopo bila riba.