Mbosso vs Alikiba (Maajabu vs Rhumba)

Haahaa mleta uzi bila shaka umekurupuka. Ali kiba yupo wapi kwenye huo wimbo?
Halafu hata hivyo wamejitahidi sana, ndio kwanza wana 27k subscribers na wamefikisha views 445k in 3 days tofauti na huyo mwenye subscribers wengi
 
Nyimbo yoyote ile ya mbosso huwezi ilinganisha na nyimbo ya kiba.anza kwanza kulinganisha nyimbo ya mboso na diamondi tutakuekewa.
Kajifundishe Umoja na Wingi kwanza.
Wimbo mmoja
Nyimbo nyingi
Huyo Ali Kiba ndo walianza kumpambanisha na Diamond kipindi alipotea kwenye Game la muziki.
Alijiita "THE RETURN OF THE KING" amshukuru Marehemu Ruge huyo King wenu uchwara.
 
Wapenzi wasikilizaji.
Mpaka leo nyimbo hizi mbili zimefikisha siku mbili.
Wimbo wa Mbosso ukiwa na views 640,000 huku wimbo wa Alikiba ukiwa na views 430,000.

Naomba tutoe maoni. Ni nani kafanikiwa. Na ikipendeza tutoe sababu.

rhumba sio wa ali kiba, boya wewe
 
Wapenzi wasikilizaji.
Mpaka leo nyimbo hizi mbili zimefikisha siku mbili.
Wimbo wa Mbosso ukiwa na views 640,000 huku wimbo wa Alikiba ukiwa na views 430,000.

Naomba tutoe maoni. Ni nani kafanikiwa. Na ikipendeza tutoe sababu.
Ukiangalia ni ALI KIBA
Why kwasababu alikiba alianza muda na bado anahit mbosso wa juzi angetakiwa awe na milioni.
 
He ALI KIBA ana WIMBO UNAITWA RHUMBA?..KAIMBA verse ya ngapi?.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji10][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] punguzeni kumuhofia huyu jamaa HAJATOA WIMBO BADO wale ni vijana wake tu kaka...kwa msaada tu hiyo nyimbo unayoisema ndo ipo #1 TRENDIND imemshusha babake Mbosso ft fally ipupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…