Umenenausirudie tena kumfananisha Aslay na vitu vya ajabu.
Kabisa nyimbo za Aslay zimevaa Nguo za heshima hazipo uchiusirudie tena kumfananisha Aslay na vitu vya ajabu.
Muda utaongea na utatamani kufuta kauli yako.
Hakika Mkuu!! Watani wangu wangeuliza "Mboos Whoooo??! Mboos Whaaat?"Aslay amesimama mwenyewe bila lebo kubwa, leo hii ameshakuwa msanii mkubwa nyimbo nyingi show ya mtu mmoja inaenda, leo hii unamfananisha na mbosso kweli mkuu? Mpe heshima yake
Bora hata bekaAngalau Aslay vs Beka
Na ndio sababu ya madogo kufeli kutokana na mashabiki kupenda mashindano badala ya kuangalia burudani na kuhudhuria matamasha mbalimbali kwa mtazamo wa kubadilisha radhaKwani ni mashindano
Waganga wa kienyeji watanufaika zaidi
Kwa wasiomfahamu Marombosso ni kijana hapo kwenye video, ambae alikuwa miongoni mwa wanaounda Yamoto band.
Kwa sasa ametoka kupitia WCB.
Wakati yupo Yamoto walikuwa wanachuana vikali na Aslay na inasemekana ni moja ya sababu kundi kuvunjika ni hivi vipaji viwili.
Kwa kutazama muono wa mbali tutarajie mchuano mkali ambao siwezi kuuita bifu bali ni mchuano wa vipaji toka kwa aslay na mbosso.
Nini kitatokea baada ya mchuano huo kuanza rasmi? Tuvute subira.
Kweli kabisausirudie tena kumfananisha Aslay na vitu vya ajabu.